Umeme umekuchanganya Ama ni ni hahaaaaaaa mbona aliyecoment wa kwanza na hajamquote mtu humwambii kitu ndugu umenikazania mm tu ..mm nafanya ninachojua ninataka kufanya ndo maana ww na kuquote maana najua nakutarget ww au unazani mm ndo mkata umeme bwana setin relax maisha hayatak ujuaji maisha...
Namjibu mtoa post aisee yy comments zote zinamhusu bwana mbona unapenda mambo yawe complicated au ni vp aliyetoa post ndo anaejibiwa ukiona hajawa quoted mtu ujue naijibu post kuquote sio lazima
Kama upo siliaz nakuhurumia sana ukimpata mtu akafanya iyo kazi kwa 10k niite mbwa na huyo mtu mm nitamwita mbwa nilichojifunza ww umenunua eneo hivi karibuni huna experience kabisa ya kilimo na program zake ndo maana unasema unagawa shamba mtu alilime bure
Risala yako sijaisoma ingenichosha tuu tulimsema kwasababu tulikua tunanyimwa haki yetu ambayo tunalipa wenyewe sasa apongezwe kwa kipi wakati hii ndo kawaida iliyotakiwa yaani tumpongeze kwa sababu umeme haukatiki basi we mwenzetu una tatizo ktk uelewa wako NIMEKUSHANGAA SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.