Ndio maana nimesema sikilizeni vizuri na msiwe na tafsiri moja. Pale alikuwa naongea na Waumini,Wakazi wa Dar na watanzania. Kumbuka yeye mwenyewe anatoka Tabora sio Pwani. amezungumzia kundi la wanyonge na walala hoi.
Lipumba ni mtu makini na ataendelea kuwa hivyo, nafikiri baada ya Nyerere Mungu ametuzawadia Lipumba tatito generation iliyopo haijui kutumia vipaji. Alijua anaongea nini na ndicho alichoongea na alijua analihutubia taifa, anarekodiwa na CD zitauzwa. Inshort baadhi ya aliyoyasema hapo aliyasema...
Jamani natafuta kuwasiliana na viongozi wa chama hiki toka December mwaka wa jana bila mafanikio, nimejaribu kuandika barua pepe kupitia anuani zilizoandikwa kwa tovuti yao bila majibu, ni vipi naweza kuwasiliana na Katibu Mkuu , Mwenyekiti au hata Mkurugenzi wa fedha,
Mwenye suluhisho naomba...
Jana tarehe 29 Februari 2012 nikiwa naendesha Rav4 (T601 BDD) majira ya saa 9;27 alasiri niliingiza gari yangu katika kituo cha daladala cha Msimbazi pale Kariakoo ili nimshushe mtu niliyekuwa nimeongozana naye. Baada ya kumshusha abiria wangu, nikapata wazo la kushusha vioo vya madirisha ili...
Eneo- Kariakoo
Mtaa; Livingstone/Omari Londa
Ukubwa; 2700 sqft
Price 700Ml
Site Plan; Commercial & residential
term 99 years from 01.01.2008
For site visit
Contact 0785566566/0714339559
Mjomba usikariri sana kuwa maisha ni magumu . bei ya plot hii ni ya kutupa inaweza isisfike hata nusu ya hiyo bei ndoto yako. Kama uko serious hebu tuwasiliane , upate kutembelea site na kujua mengi zaidi.
A very nice plot for sale at Kariakoo, The location is good for both Commercial building and Residential with Square meter 3400-312 along Swahili and Omari Londa Street (Form
erly Somalia)
Serious buyers only can make contact via;
0785566566
0714339559
Naamini Magufuli yupo sahihi kwa alichokifanya. Nilisoma ktk MwanaHalisi Mwezi April mwaka huu habari yenye kichwa cha Habari NYUMBA YA jk YAZUA UTATA. ndani ya habari hii kulikuwa na barua alizoandika BW Kimweri ambazo zilikuwa na upungufu mkubwa wa kimaamuzi na mbaya zaidi zilikuwa...
Natafuta Nyumba au Plot ya kununua maeneo ya Upanga, Mikocheni au Regent Estate, mwenye taarifa au mwenye kujua ilipo tafadhali naomba tuwasiliane
kindiki@gmail.com
Nashindwa kustahimili,
Na kuusifia Ugali,
Hata upikwe na mwali,
Kamwe sijuvunii Ugali,
Ni chakula cha mifugo,
Wanakiweza wagogo,,
Nipe wali na Pongo,
Hapo Napata usongo,
Wali si lazima na nyama,
Japo umevikwa heshima,
Na kama utaupa nyama,
Basi ndoa himahima.
Vigori wetu mkoleni,
Tuwafunde...
Who is a great thinker?.....tusitake kila mtu awe mshabiki wa kila linalosemwa, tuache watu waseme mawazo yao kwa mitazamo yao. Kama kila mtu angekuwa positive hapa duniani basi watu wasingeweza kutengeneza mabomu.
Ni mwanamke ndo anazungumziwa hapa, Dume hata likimega nje sio issue sana wao huwa wanawashikisha adabu wanao jipendekeza tu.
Ila mwanamke kumegwa nje ni uchafu sana, ndo maana tunatafuta dawa.
Tembelea-www.dinahicious.blogspot.com- hilo tatizo limejadiliwa na kupatiwa majibu yakinifu na wahanga wengi walifanikiwa kurejesha furaha katika ndoa zao.
Acha kukurupuka na kushambulia watu wakati hujasoma mada yenyewe. anza mwanzo kusoma kisha ndo uchangie.
Kwanini asingesema Magazeti yaeneza uwongo dhidi ya Kanisa katoliki? na badala yake amesema Al-huda? na jee kweli kilichoandikwa ni uwongo?
Usiruhusu jazba zikuongoze katika maandishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.