kupenda dezo kumekutia gerezani na hutotoka humo mpaka utakapolipa. ulifuata fedha zake ukasahau kuwa mpiga zumari shurti acheze wimbo ulochaguliwa na aliyelipa! Utajiju! itabidi usahau ya uchaga wake na ushamba mmalizane kwanza. Wachumi husema "nothing of value is free" kwanini we ulitaka fedha...
baadhi yetu wanaume ni waongo sana. hivi kweli mwanaume timamuaweza danganya kuwa yeye haongi? Nijuavyo mimi wanaume wote tuntoa rujua kupata kile tutakacho kwa mwanamke hata akiwa wa ndoa ilatunaona aibu kukubali kuwa tunahonga kwa vile tunajidanganya kuwa sifa ya mwanamume ampigishe mwanamama...
wadau leo nimepata jipya eti boy friend wa binti amedai hawezi kufunga ndoa kwasababu binti hana ndugu wenye uwezo wa kumfanyia send off. Hivi huyu mtu ni muoaji kweli? Mimi sidhani.
Naamini siku CCM ikiondoka madarakani itafilisika hapo hapo kwa vile karibu kila kitu wanachomiliki ni cha umma. Jengo la makao makuu mkoani Tanga lilipojengwa pamoja na uwanja wa mkwakwani niliuchangia 1975 nikiwa na miaka 10 kwa vile chochote tulichonunua mwaka ule mkoani Tanga kiliongezwa...
Why is abortion illegalized?
If you support the current status have you ever asked yourself why?
I think reasons to make abortion illegal are more religious than being guided by law. If one's conscience is not enough to control their choices why should the law interfere?
Please let the law...
Nasikia kwenye elimu kuna wimbo mpya umeanzishwa. Ajabu ya wimbo huu ni kuwa waimbao huimba maneno yao, wasikiao husikia ya kwao na wachezao hucheza mdundo wao. wanasiasa na watendaji serikalini wanaamini kuwa wameshafanya yatoshayo kubadili matokeo yale ya zero kuongoza na one kushika mkia...
kutumia ni muhimu kwa uchumi kukua. kuweka akiba kuna faida pale tu akiba hiyo inapowekezwa. Akiba kidogo zinapounganishwa huwa akiba kubwa ambayo huweza kuwekezwa katika mradi mkubwa wenye manufaa makubwa. Watanzania tuna matatizo matatu makubwa: kwanza hatujiamini, pili hatuaminiani na tatu ni...
degree hata akitaka kumi anaweza kuchukua ni bidii yake kubukua tu, lakini suala la mkopo mimi sijui. Unachopaswa kujua ni kuwa chuo ulipodisko waweza pewa muda kidogo kujipanga kabla hujaanza upya. Kudisko ni kujikwaa tu si mwisho wa safari.
kujiuzulu tu! unatufanya mazezeta sio? hakuna adhabu ya kumtosha afanyaye biashara hiyo. kifungo cha maisha pamoja na kufilisiwa mali zote awe amezichuma yeye, amezirithi au amepewa zawadi. Halafu haitakuwa mbaya hawa washenzi wauza unga wakatandikwa viboko 12 pale uwaja wa taifa kila siku ya...
kutazama ni kuangalia kwa makini. kuangalia ni kuelekezea kitu macho kwa lengo la kukiona. Kutazama ni kuona kitu katika mazingira yake na kumakinika na uwepo wacho.
mfumo wa ujamaa ni mbovu unawalipa wasiokuwa wabunifu na kuwanyanyasa wenye bidii ya kuwaza na kutenda. Ubepari unawabana wanyonge wafunge mkwiji ili waondokane na unyonge wao vinginevyo watoweke. Kama ni kuchagua kati ya hiyo miwili basi ubepari ni bora lakini kuna mfumo wa kati 'social...
kauli hii mwake kabisa! Mfuma wowote unaowazawadia wasiolipia gharama ni mfumo mbovu kabisa. Leo vijana na nguvu zao wanapita majiani kuomba ukiwauliza wanasema hakuna kazi hivi wanafikiri nani kaumbwa kuwaanzishia hizo kazi? Nani kawadanganya kuwa kuna mtu wa kufikiria kwa ajili yao? Mungu...
amasema vema "ni rahisi kutengeneza fedha toka kwa pesa kuliko kuzitengeneza kutoka sifuri." Sie tuliotoka kimanzi na kiraracha, tukasoma St. Kanumba na kuishia kariakoo kubeba magunia tunapaswa kuwa kama Mo senior tuwaandalie wanetu $1 mil. za kuwakopesha. Inawezekana tukiacha visingizio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.