JE, BANDA LA UKUBWA GANI LINATOSHA KUKU WANGU?
Hili ni swali rahisi sana lakini cha kushangaza, limekuwa linasumbua sana wafugaji wengi. Watu wanajijengea mabanda kiholela na kuishia kuwa na magofu makubwa ya mabanda bila kuku.
Kujibu swali hili katika ufugaji wa kuku wa kienyeji ni muhimu...
KWA NINI UTUMIE HYDROPONIC FODDER KATIKA UFUGAJI WENYE TIJA
1. Ni rahisi kuotesha
2. Zinaota kwa muda mfupi
3. Zitakupunguzia gharama za chakula cha kuku
4. Zina wingi wa protein na vitamin, hivyo huongeza utagaji wa kuku na kinga za magonjwa
5. Zinapunguza uwezekano wa magonjwa yatokanayo na...
MABANDA YA KUKU YA KISASA
Kazi Ya Kutengenezea Mabanda Ya Kuku Inaendelea Hapa Ofisini Kwetu Mbezi Ya Kimara (Karibu na Stendi Ya Magufuli)
Bei za Mabanda; (Ufundi na Mateials) Wewe unakuja Kuchukua Banda likiwa Limekamilika.
Banda la Kuku 50 ni Tsh 200k
Banda ka Kuku 70 ni Tsh 250k
Banda la...
HATUA ZA KUZALISHA HYDROPONIC FODDERS
Na Comrade Ally Maftah
0762212623
TREY ZA HYDROPONIC FODDER NI SH 3500
UKINUNUA TREI KITABU CHA UFUGAJI NI BURE NJOO INBOX NIKUTUMIE
Kwa kufata hatua hizi unaweza kuzalisha malisho yako mwenyewe nyumbani.
Chagua mbegu ambazo hazijaanza kuchipua, na...
Tunauza mashine ya kutengeneza chakula cha mifugo cha chenga chenga (pellet mashine). mifugo kama (Kuku/samaki&sungura)
✓Inatuma umeme wa majumbani.
✓Inauwezo wa kuzalisha kilo 150 Kwa lisaa
✓Hp 200,400 size kyp
✓Unaweza kutumia Kwa matumizi yako binafsi na biashara
Faida za kumlisha kuku...
Week hii natoa ofa ya incubator ya mayai 56 kwa wafugaji 10 wadogo.kwa Bei ya 300,000/=Tsh.
✓Inatumia umeme/betri la gari na solar .
✓Inajiendesha yenyewe.
✓ Inauwezo wa kuangua zaidi ya 97%.
✓Inatunza joto masaa matano pindi umeme ukikatika.
✓Inaprogramu rahisi sana hivyo ni rahisi kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.