Mara nyingi wapenzi hushindwa kuukubali ukweli kwamba safari yao imefika mwisho. Hivyo pamoja na kuwapa pole kwa kutengana inabidi pia niwapongeze kwa kuchukua maamuzi hayo magumu. Nawaombea furaha ya kweli na muishi maisha ya kutojutia uamuzi wenu.
yaonekana jamaa ulikuwa umemzimia kitambo na siku hiyo ulikwenda rasmi kupiga show.
siku mkikutana na jamaa mtaani akiomba tena game uwezekano wa kumpa ni mkubwa.
hapo hakuna ndoa.
Kwa ngazi za kiutendaji, Balozi wa Tanzania anaporudi nyumbani (Tanzania) anahesabika kama Mkurugenzi wa Idara.
Hivyo ni vyema kuzingatia hilo mtu anapotoa hoja ya kushangaa Balozi kujiendesha mwenyewe. Je ni Wakurugenzi wote wanatumia madereva wanaposafiri?
hapa unamshauri raisi aingie vitani rasmi. naamini unafahamu fika kwamba
taifa linapoingia vitani sharti la kwanza ni kuwa na umoja. bila umoja uwezekano
wa kushinda vita hiyo ni finyu sana. hii ni mahususi zaidi kwa vita vya
kiuchumi au vita ya silaha za moto. taifa liingialo vita vita hivi...
dah! mlokole yuko kwenye complicated relation halafu katika sababu zinazosababisha tatizo kwenye uhusiano hajataja kuombwa mzigo! hapo unaweza ukawa unaingizwa kingi tu.
achana na kuchat mueleze ukweli uso kwa uso, akikutolea nje ni poa pia maana utajua anauoangalia vipi uhusiano wenu. hayo...
bahati mbaya sina namba yake. ila ukienda zanaki sekondari kwenye saa kumi na moja na nusu au kumi na mbili jioni utakutana wanadojo wakielekea mafunzoni watakupa taarifa zaidi.
uzuri wa goju ryu ni sanaa ya mapambano ndio sababu huikuti kwenye mashindano mbalimbali kama sanaa nyingine za...
nadhani zanaki dojo kwa ajili ya goju ryu bado wana mfumo mzuri japokuwa nilipata kusikia
masuala ya upendeleo ila sikuthibitisha. si vibaya kwenda kujaribu nadhani bado wapo na sempai (sijui kama tayari ni sensei murdhika)
hata residence permit inamwezesha mtu kuishi nchi nyingine bila kuwa raia. je hukumu ya kifungo cha maisha haiwezi tafsiriwa kwamba imempa mfungwa residence permit na sio uraia?
mbona haina noma? mimi nitampelekea mtoto wake kwake akacheze nae na ikifika muda nitakwenda
kumchukua hivyo akitaka atanipa mimi hiyo pesa. au atasema haniamini? ataachaje kuniamini wakati
mimi namtunzia mwanae kwa roho safi kabisa?
mkuu haya maneno ya u expert wa sounds hukupata kuyasema huko nyuma na ukakosea?
nadhani unakumbuka ile video uliyosema ni geniune na authentic.
mimi ngoja nivute subira nione huu mtanange unavyofunguka. natumaini ukweli utajulikana tu kama kub kabugi au
kachomekewa zengwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.