Habari JF,
Kuna kausemi wanawake wengi wanacho "nilianza nae chini au nilimkuta hana kitu" then what? Kuanza na mwanaume chini kumvumilia wakati hana haikubadilishi wewe ukawa mwanaume mwenzie eti kiherehere chako cha kumvumilia kisikutie jeuri ndani ya nyumba, jua huku nje kuna wawindaji tena...
Habari zenu wana JF,
Naongea na wewe binti ambaye bado upo au upo kwenye mahusiano. Mabinti wengi ni vipofu mnapokuwa kwenye mahusiano na mbaya zaidi na jamii inayotuzunguka ndiyo kipofu zaidi.
Kwanini? Huwa mnajifanya crazy in love mpaka pale wanapokupelekea kuwa crazy kweli kweli baada ya...
Za asubuhi,
Ombi langu mshaurini huyu baba kijana nimetoa ombi na msimtukane mshaurini kwa upole mkimaliza nampa link ajisomee mwenyewe.
Huyu kaka kijijini huko alinipenda tokea nikiwa form one na yeye form 3 kiukweli mimi sikuwahi kujua kupenda na wala hiyo maana nilikuwa sina ila kijana...
Habari zenu
Leo nimekutana na jambo hospital ikanibidi tukumbushane wakuu.. mama alikuwa anambadili diaper mtoto wake me nipo karibu mtoto kanangozi kama ya mamba huku akianimbia kwa madaha yani mwanangu kila diaper inamkataa. Nikamwangalia nikapata hasira nikamwambia si lazima kuvaa hizo...
Habari za asubuhi wapendwa wangu
Hapa napo tafutia vitu vya kuchafua meza yangu home basi miezi kama miwili iliyopita nilikutana na babu mmoja kwenye lift na dada wa uji ndiyo hapa babu tukaanza kujuana sababu nilimchokoza babu unakunywa uji nikacheka baada ya kicheko nikamwambia msalimie...
Habari za jioni wakuu
Jino langu lilikuwa limejazwa sasa limekatika kule kwenye jino la kweli ikabaki ile chokaa.. nataka kutumia superglue kurudisha je kuna madhara kwenye jino?
Nimebaki na meno machache sana wasiwasi wangu sitaki kutoa jino sababu litakuwa jino la nane ..
Asanteni
Habari za asubuhi wapendwa wangu ..
Nimeona wanaume wanalalamika ooh mke wa mtu , mke wa mtu then what?
Sasa wanaume niwaweke sawa TU kuwa mke wa mtu haina maana mimi kihisia, kimatamanio, kusikia njaa, kusikia hamu, kumtamani mwanaume, kutamani mambo mazuri, kupenda bata ndiyo once naolewa eti...
Habari za asubuhi wapendwa ..
Kuna kesi nimeletewa ni wiki sasa natafakari na kuamua kuwafundisha baadhi yetu wenye tabia kama hizo..
Kesi yenyewe kwa ufupi tu ni kuna wana ndoa wapo kwenye kutoelewana kwa muda sasa kisa mume anatabia ya kuchepuka , ila mke ana rafiki yake wa kike ambaye yeye...
Habari zenu wana jf
….kuna swali huwa wengi wetu tunapenda kujiuliza au kuwauliza wapenzi wetu au hata marafiki hivi wanawake wanataka nini ? au hivi wanaume wanataka nini?
Hili swali huwa halina majibu ambayo ni ya moja kwa moja ila unaweza kuweka akilini mambo yafuatayo kuchoka, kukinai...
Habari zenu wana MMU mimi mzima wa afya .
Kuna kisa nimeshirikishwa kupitia njia nyingine za mawasiliano ambapo akanieleza kisa kina msibu sasa hivi yeye na mchepuko wake naweza sema ex mchepuko baada ya kuamua kurudi katika njia kuu… mwanaume yupo humu kwa heshima yako mkuu sitakutaja… binti...
Habari zenu wana MM. mie mzima sana aiseee.
Leo naona tukumbushane mambo machache tu katika mahusiano japo yapo mengi. Mahusiano hasa yanayohusisha mapenzi huwa yanachangamoto zake na mazuri pia, katika mahusiano kila mmoja anawaza mazuri hasa mwanzoni ila kadri yanavyokuwa ndipo...
Habari zenu wakuu,
Nina tatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa. Sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. Naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila...
Habari zenu WanaJF:
Ujumbe huu ni kwa rafiki yangu na wengine wenye tabia kama zake. Mtaniuliza kwanini nisimfuate nimwambie uso kwa uso, mwanamke yule anaongea akinisema na jinsi sina maneno mengi nitazimia..
Kwanza nikushukuru rafiki kwa huduma yako jana usiku loh nilienjoy kwa kweli...
Habari zenu wana MMU,
Hii imetokea ni kweli wanawake tujiongeze hasa pale mnaposhauriwa na rafiki zenu may be inaweza kuwa applied kwa wanaume pia tujifunze kuevaluate kila kitu kabla ya kufika maamuzi ya mwisho mjifunze.
Dear baba Patrick.Hope this will find you well. Today marks the exactly...
Habari zenu wana MMU,
Mimi nadhani hakuna mapenzi yenye furaha na amani kama kuwa na mwenza mmoja wa kuaminiana, lakini tunavyokuwa na wapenzi zaidi ya mmoja yani mtu unaishi kwa mateso na shida tu kama:
Kuwa na wasi wasi muda wote
Hasira za mara kwa mara hasa ukikutana na maswali "ulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.