Search results

  1. Ngamba

    Looking for God fearing husband who is ready to settle

    Dodoma sio mbali joo dm tuongee
  2. Ngamba

    Msaada nateketea. Mba wananisumbua baada ya kunyoa.

    Au ukiona shida twanga vitunguu swaumu na Kisha jipake kichwani Kila unapenda kulala Kwa siku 5 utasahau kabisa
  3. Ngamba

    Msaada: Radio Advert Rate kwa Dodoma

    rejea na kichwa cha habari hapo juu naomba mwenye details ya advert rate kwa radio zilizopo mkoa wa dodoma
  4. Ngamba

    Msaada Android App nzuri ya kutengeneza cover za social media

    Rejea na kichwa Cha habari hapo juu, naomba Msaada wa app nzuri ninavyoweza kudownload na kuitumia kutengeneza cover za social media post. Asanteni
  5. Ngamba

    Saterite decoda ya Bein

    Jameni naomba msaada wapi nawepa pata/ kununua saterite receiver ya Bein kwa hapa Bongo???? ntashukuru kwa msaada wowote utakaonisaidia kutatua shida yangu Asanteni
  6. Ngamba

    Naomba mfano wa Taifa lililoshusha gharama ya maisha kwa kutumia Katiba?

    Je na italeta wafanyakazi wapya???
  7. Ngamba

    Kilimo cha Choya (Rosella)

    Ila nadhani kama utatoa hapa wengi wetu tutafaidika, ila kma Kuna malipo nalo liseme tuelewe
  8. Ngamba

    Mbolea ya CAN inawekwa baada ya muda gani katika mmea?

    Hii ni CAN ama ni CAAN 🤔🤔🤔 ni ni I hii??
  9. Ngamba

    Kati ya mahindi na alizeti kilimo kipi kinalipa?

    Asante naomba kujuzwa alizeti inachukua mda Gani toka kupanda Hadi kuvuna??
  10. Ngamba

    Wafugaji Wa Sungura ni swala la Masoko

    Hebu nipe 5zako za jinsi unavyofuga?? Ndabi ya Banda ama huria
  11. Ngamba

    Ufugaji bora wa sungura kwa ajili ya kukuza kipato

    Hao sio watoto Tena🤪🤪
  12. Ngamba

    Natafuta watu wa kujitolea kwenye Taasisi isiyo ya Kiserikali (NGO)

    Ungekuwa Kanda ya ziwa ningekusaidia
  13. Ngamba

    Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

    Asante saana. Mkuu mie naomba break down ya Sabuni / dumu Moja la mafuta, yaani margafi ninazohitaji pamoja za uzito wake. Shukran
  14. Ngamba

    Mwisho wa graphics designers huu hapa

    Graphic designer ni Art sio kama unavyofikili ndugu mteja japokuwa technology inrevolve Kwa Kasi kubwa ila art haiwezi kufa itabaki kuwepo tu. Kunax teAI Technology ya Kila kitu ila mbona BDO vitu vipo tu???
  15. Ngamba

    Computer graphic, photoshop, illustration, Logo design, printing, marketing

    Nope kazi Niko vizuri na adobe Photoshop na Illustration Niko mwanza Nyegezi Kona/ op. Tema hotel 0784804033
  16. Ngamba

    Biashara ya movie centre ambazo hazijatafsiriwa

    Not Tz number but Uganda number boss
  17. Ngamba

    Biashara ya movie centre ambazo hazijatafsiriwa

    Tuwa Tuwssiliane Whatsapp +256772662087
  18. Ngamba

    Msaada: Naomba msaada wa kupata Organization Structure ya Uganda Wildlife Authority

    Nenda kwenye website Yao pia jaribu wizara ya habari Niko Hilo waweza ipata ama waziliana na waziri wa habari
  19. Ngamba

    Material ya Sabuni Msaada

    Salaam Naomba Msaada wapi naweza para vifaa vifuatavyo napayikana mwanza. 1. Sodium laural Ether Sulphate(Ungarol) 2. Linear alky benzene sulphonic acid, 3. Coconut diethsnoline (C.D.E) 4. Sodium tripolyphosphate(S.T.P.P) 5. Caustic soda 6. Sodium benzoate 7. PerFumes...
Back
Top Bottom