Makocha wengi duniani(Ulaya hadi TZ) ukifungwa lazima alalamike sio SAF peke yake, Chelsea wenyee mwaka jana CL na Barca walimzonga refa utadhani nini, Asernal walipofungwa na Man Wenger alilalamika vilevile, Liverpool mara kibao wanalalamika tu wakifungwa, Man city vs Man walilalamika vilevile...
Serikali isikwepe jukumu la kusimamia sheria, sasa kwa mtindo huu wa kupiga picha utapiga picha magari mangapi mzee maana pembeni kuna msululu wa magari kama barabarani tu!. Isitoshe kupiga picha ni process ndefu tu ambayo dereva atwambia alikuwa service road anaziba pancha utamfanya nini na...
Madereva TZ ni matatizo makubwa, 80% ya madereva wetu hawafuati sheria za usalama barabarani kabisa kitu ambacho ni hatari hata ukiweka mashimo kama mito barabarani ajali zitaendelea kutokea tu. Wewe chakulia mimi huwa natokea mbezi asubuhi foleni inaanzia Temboni mpaka Kimara lakini utakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.