Bado sijapata msaada wiki sasa. Jina kwenye system yenu hamukuwahi kubadilisha, kwa hiyo linasomeka kama John C. Sivalon. Details zangu ni kama nilivyokupatia kenye Persona message. Sivalon alishahama kwenye nyumba hiyo karibia miaka 20 sasa
Kumbuka pia kuwa nina restrictions ambazo zinanifanya nisitumie chakula kutoka mazingira ya nje ya nyumbani kwangu. Kitendo cha Microwave kuwa haifanyi kazi kutokan na tatizo la umeme, kunanilazimisha kuvunja utaratibu huu wa kutokutumia chakula kutoka mazingira ya nje. Tafadhali naomba sana...
Habari za kazi? Samahani kumbe niliwalisha maneno. Walinipigia mimi nikadhani kuwa tayari wako site, kumbe hapana. Vile vile hawakuniambia kama walikuwa site, wainipigia tu kuulizia details za tatizo.
Naona hawakufanikiwa kufika, nitaendelea kusubiri. Naamini possibly leo au kesho wanaweza...
Ku
Kuna watu tayari wameshanipigia simu wapo site wameshafika. details niliwapatia jana ila eneo ni getini UDSM mkabala na Ardhi University. Kuna maghorofa yako kushoto mwa barabara na kuna Transfoma pembezoni mwa barabara. Ubarikiwe sana kwa kujali!
Watumishi poleni na kazi, hongereni na kazi pia.
Nina tatizo linanikabili nyumbani kwangu ambalo limekuwa likijirudia rudia. Usiku wa kuamkia jana Jumatano tarehe 16 Septemba 2020 umeme ulikatika na uliporudi, asubuhi yake nikakuta Microwave yangu haiwezi kuchemsha chochote, inaunguruma tu. Si...
These are additional solved problems (attachment below) intended to be incorporated in the document whose link appears below.
Enjoy your reading
Undregraduate soil mechanics solved problems-download
Any feedback please?
This time again, something new might be coming soon. It may carter for students probably up to PhD level. It's a manual with solved problems mainly on INTEGRAL AND DIFFERENTIAL CALCULUS. The manual will also including solutions to some problems which were released in this...
Dears;
Students taking a course in Soil Mechanics:
Here is a final version of your copy, two copies.
1 The printable version is most appropriate for reading in hard copies and the other, in soft copies.
2. Note also that the document is still being worked upon, though for you, this is your...
Kawaida, watu hawawezi kusema kuwa haupo wakati hukuwahi kuwepo! Maana yake ni kwamba ili uwe haupo, lazima uwe uliwahi kuwepo. Kwa hiyo huwezi kuwa haupo bila kuwa uliwahi kuwepo, au huwezi kutokuwepo bila kuwepo!
Undergraduate Students doing a course in Soil Mechanics:
I will upload something for you next week, mainly solved problems involving soil mechanics' BASIC RELATIONSHIPS. Make sure that you share it with your fellas. You may also examine the copy of any errors/ ommissions and report them back...
Kama yote uliyoyasema hapa yako sahihi hakuna ulichopindisha, naomba nikuhakikishie kuwa hawa wanafunzi watarudi chuoni na hao waliowafukuza ndiyo watapoteza ajira. Kwa kipindi hiki cha JPM, hili haliwezekani kufanyika. Unless uwe ukechakachua kutoa taarifa hii
Ila kwa kweli nimesoma hapa kuhusu huyu jamaa halafu nikachoka. Remote control ameanza kutumia 1898. anaendesha Boat kwa remote control mwaka 1898 watu wakawa wanasema kuna kitu ameficha kwenye boat ndiyo kinachoiendesha. Mimi hapa kwetu mimeishangaa kwa mara ya kwanza mwaka 1986.
Nikola Tesla...
Angalau commendable source tu ya hizo Gossips? Maana kitu ambacho hakijawa verified experimentally ni gossips! Juzi juzi tu wamejaribu wakadhani wamedetect particles ambazo zinaenda spidi zaidi ya mwanga walipokuja kuangalia energy spectrum wakagundu kuwa iko sawa na ile ya mwanga kwa hiyo...
Mimi naona kama hizo Tachyons ni hpothetical or rather imaginary, kwamba Tesla ali-imagine the existence of Tachyons. Einstein ali-prove kwa theory kwamba nothing is faster than light. This is not a belief but rather, a proved theory since 1905
5 More Senses You Didn't Know You HadRyan WallaceAug 8, 2014
Aristotle is credited with first classifying the five senses that we know best: touch, smell, taste, hearing, and vision. But as science has delved deeper into biology and the human brain, researchers have discovered several...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.