Israel arrests Hamas leader in West Bank raid - Al Jazeera English
Israeli security forces have arrested Hassan Yusef, one of Hamas' top figures in the occupied West Bank, in an overnight raid near Ramallah, the Israeli army said.
"During the night, forces of the army and the Shin Bet [internal...
Nimepokea picha hizi kutoka Bukoba kuwa ni mafuriko ya mgombea ubunge jimbo la Bukoba mjini CCM balozi Kagasheki. Hivi kule mgombea UKAWA ni yupi, nimecheka sana. Ina maana hilo jimbo CCM italichukua kweli?
Huko Bukoba mkoani Kagera mgombea mmoja wa nafasi ya ubunge aitwaye Dk Aman Anatory asubuhi alichafua hali ya hewa baada ya kudai katika mkutano wa kampeini kuwa Serikali ya CCM inanuka rushwa,kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa tz kuna tahasisi nne zinanuka rushwa,mojawapo ni ofisi ya CAG...
Yericko Nyerere hivi ni lini tutaanza kujadili wagombea urais kupitia UKAWA? Maana naona nguvu zote ni CCM tu mpaka mimi nashangaa kwa nini vijana wa CHADEMA kila kukicha wao ni kujadili mgombea gani anafaa/hafai nafasi ya Urais kupitia CCM tu je UKAWA hawapo? ukiona mtu anapenda kujadili mambo...
Taarifa kutoka Bukoba Mkoani Kagera ni kwamba Mbunge wa Bukoba mjini Balozi Kagasheki ambaye yuko Bukoba Mjini takribani wiki nzima sasa amemwangukia hasimu wake Dr. Amani akitaka amsamehe kwa yote yaliytokea.
Taarifa ni kwamba Aman amesema hawezi kufanya huo 'upuuzi' kisema 'ni bora nikambusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.