Search results

  1. FTP

    Kiongozi wa Hamas akamatwa na Jeshi la Israel

    Israel arrests Hamas leader in West Bank raid - Al Jazeera English Israeli security forces have arrested Hassan Yusef, one of Hamas' top figures in the occupied West Bank, in an overnight raid near Ramallah, the Israeli army said. "During the night, forces of the army and the Shin Bet [internal...
  2. FTP

    Mkutano wa UKAWA Mbeya kurushwa live ITV

    ngoja tuendele kukodoa macho azam tv kwa sasa.
  3. FTP

    Sheria ya mita 200 inatekelezeka kweli?

    busara lazima itumike tu
  4. FTP

    Bado siku 7 tu za kumuondoa mkoloni mweusi

    ngoja tusubiri kura yangu moja bado sijahamua wa kumpa
  5. FTP

    Mkutano wa UKAWA Mbeya kurushwa live ITV

    kuanzia saa ngapi mbona itv hakuna suala hilo?
  6. FTP

    Jionee mafuriko ya Kagasheki jimbo la Bukoba Mjini

    Nimepokea picha hizi kutoka Bukoba kuwa ni mafuriko ya mgombea ubunge jimbo la Bukoba mjini CCM balozi Kagasheki. Hivi kule mgombea UKAWA ni yupi, nimecheka sana. Ina maana hilo jimbo CCM italichukua kweli?
  7. FTP

    Video-Vimbwanga vya Uchaguzi,Mgombea CCM adai Serikali ya CCM inanuka rushwa,wajumbe wachachamaa

    Huko Bukoba mkoani Kagera mgombea mmoja wa nafasi ya ubunge aitwaye Dk Aman Anatory asubuhi alichafua hali ya hewa baada ya kudai katika mkutano wa kampeini kuwa Serikali ya CCM inanuka rushwa,kaenda mbali zaidi kwa kudai kuwa tz kuna tahasisi nne zinanuka rushwa,mojawapo ni ofisi ya CAG...
  8. FTP

    Lowassa: Sihusiki na Richmond, ilitungwa kunichafua. Sitohama CCM!

    Asante kwa updates-@mwana mpotevu
  9. FTP

    Hivi ni kwanini mabinti wa hapa MMU hamuolewi?

    huyu ndio ambao wake zao hutembea na wauza mkaa,akijidai kaoa
  10. FTP

    Ujumbe huu ni kwa wanawake na funzo kwa wasaka dawa za kukuza maumbo yao

    kizuri kula na mwenzio-Ujumbe huo
  11. FTP

    Pigo la tatu kwa Lowassa, bado la Mwisho mwezi Mei

    Yericko Nyerere hivi ni lini tutaanza kujadili wagombea urais kupitia UKAWA? Maana naona nguvu zote ni CCM tu mpaka mimi nashangaa kwa nini vijana wa CHADEMA kila kukicha wao ni kujadili mgombea gani anafaa/hafai nafasi ya Urais kupitia CCM tu je UKAWA hawapo? ukiona mtu anapenda kujadili mambo...
  12. FTP

    Kagasheki akwama, Dr Aman agoma kumsaheme baada ya kuungama

    taratibu bwana.tumia lugha ya kiutu. Siasa za kule nasikia ni mwaka huu ccm inaweza kula kwao iwapo UKAWA wataweka mtu tofauti na Lwakatare
  13. FTP

    Kagasheki akwama, Dr Aman agoma kumsaheme baada ya kuungama

    Taarifa kutoka Bukoba Mkoani Kagera ni kwamba Mbunge wa Bukoba mjini Balozi Kagasheki ambaye yuko Bukoba Mjini takribani wiki nzima sasa amemwangukia hasimu wake Dr. Amani akitaka amsamehe kwa yote yaliytokea. Taarifa ni kwamba Aman amesema hawezi kufanya huo 'upuuzi' kisema 'ni bora nikambusu...
  14. FTP

    Tambua Wizi mpya wa Vodacom Tanzania, Serikali iko kimya

    hakuna namna ya kuwazuia wao pekee.
  15. FTP

    Jinsi ya kuweka matangazo katika blog

    toa ufafanuzi unaojitosheleza.kuweka matangazo au habari?
Back
Top Bottom