Nauza vifaa mbali mbali vya mziki na studio(used)
Yamaha keyboard psr 443 = 450,000
bass Gitaa (ibanez sound) = 350,000
Studio mic (Tockstar) = 270,000
Studio Speaker (Alessis New)= 1,100,000
Pia kama utahitaji kifaa chochote/ cables/ connection vinapatikana
Contacts:0658644485
Location...
Habari wana Ndugu,
NIende kwa point moja kwa moja.................
Katika tafiti zangu nimegundua kuwa wanawake wengi saana hawapo kaika mahusiano na waliokuwa katika mahusiano wengi pia hawayafurahii kutokana na sababu mbali mbali..........
Cha ajabu wengi pia wanajifikiria na kujiuliza...
Kuna msichana nilikuwa nachat naye kama miezi mitatu sasa, simfahamu kabisa nilipewa namba yake sababu nilikuwa na project iliyokuwa inahitaji wadada , ila bahati mbaya kumbe kwa muda huo alikuwa nje ya dar hivyo akuweza shiriki.
Ila tukawa tunasalimiana mara moja moja kwa ku chat tu (hatujawah...
Habari,
kama unahitahi graphics za aina yoyote naomba tutafute, tunatengeneza katuni, animation za aina zote, Matangazo ya aina zote, Audio, video, 3d, animations, postares n.k
Pia tunafanya Final (mastaring) za Movie, tamdhilia, music na colours
tunapatikana Dar es salaam, Njia panda ya...
Jamani Mnaweza kuhisi natania hapa ila kwa kweli upweke umenizidi, bora hata ningekuwa na ka sress kidogo ila sio huu upweke....
Wadada naombeni kampan zenu nimechokaa, Hizi ratiba za kazi nazo nadhan zinanibana kidogo nakosa time ya kukutana na nyie sehemu!
Nadhani na mazingira nayoishi pia...
Haijalishi tumekutana mtandaoni amini tunaweza kuwa mke na mume endapo tutakubaliana, kupendana, na kuendana
Most of peoples tunakosa Muda mzuri na sehemu nzuri ya kukutana na wenza ambao ni sahihi kulingana na ratiza zetu za maisha (hii ni kwa wanawake na wanaume).
Kama kuna msichana aliye...
Habari wana Jamvi,
Naamini hapa kuna watu wa aina tofauti na kuna watu pia tuna mahitaji tofauti ila inakuwa shida saana kujua hitaji la mwenzako na ku share naye.
Back to the point. Hebu leo tuambiane kweli wewe ume-miss nini?
Mimi nime-miss kuwa na msichana mrembo kwenye serious...
Habari Ndugu zangu,
Tunauza nguo za mtumba grade one kutoka Dubai na South Africa, Nguo zetu zinakuwa kama mpya kabisa na unaweza kununua na kwenda kuuza dukani pia.
Tunapatikana Tabata Segerea/ pia ukiweka oda unaeza kuletewa ulipo ndani ya Dar kwa watu wa mikoani tunatuma pia kwa uaminifu...
Moja ya vitu vinavyosumbua akili ni kumiss kitu au mtu!
Ni mara chache au watu wachache wanaoweza kuweka hisia zao wazi. Kwa mfano unaweza kuwa single na una miss hata kupata mtu wa kukukiss, kukujali na kukupenda lakini unaogopa kujiweka wazi kwa sababu mbali mbali.
Tufunguke hapa Leo...
nauza camera ya Lumix GH5 full package battery 2, charge, lans 14-45 na 45-200
ipo kwenye hali nzuri kabisa yani kama mpya! nauza 4,500,000.
kwa maelzo zaidi 0658644485 na picha
pia nauza vitu vya production kama taa, laptop,boom mic ets
Nauza Drum set full, imekamilika ni used kutoka Taiwani ipo katika hali ya upya kabisaa.....
kwa picha na maelezo zaidi naomba tuwasiliane 0658644485.
pia tunaweza kubadilisha kwa Mid speaker au bust kwa makubalianeo Maalumu
Bei 1,400,000
Hivi kwanini watanzania huwa hatupendi kukutana na watu wapya? mfano unafikiria kuwa mfanya biashara mkubwa lakini mawazo yako unayo mwenyewe kichwani na ikitokea mtu ametaka kukufahamu unakataa hata kuwa rafiki yake wakati yeye anaweza kukusaidia hata mawazo ya kutimiza ndoto yako!!
unakuta...
Nauza vifaa mbali mbali vya video production :
Camera LUMIX GH5k with lens 14-45 = 4,300,000
pia kuna taa, stand, boom mic, wireless mic, pad light, laptop, desktop na imac
Spika kwa ajili ya studio Maudio BX5
kwa picha zaidi na bei naomba tuwasiliane 0658644485
napatikana dar es salaam tabata
Nimekuwa katika mitandao ya kijamii kwa muda mrefu saana, nimetembelea sehemu tofauti za starehe na burudani kwa muda mrefu saana, kwa kuwa mimi ni mkristo nimeenda kanisani saana ki uweli nimejaribu kufanya uchunguzi kwa wasichana na wasasa 70% ni pasua kichwa, hawajitambui na hawana future za...
habari Ndugu zangu,
Huwa napitia saana Uzi mbali mbali humu na ni memba wa muda mrefu saana, naona comment na baadhi ya post zinaonyesha kuwa masichana wastaarabu, wanajitambua pia kuna wanaohitaji ila wanashindwa kuwa public.....
Naomba kama kuna muhtaji yoyote kama Mimi namaanisha...
Nauza TECNO camon CX
ram 3gb
storage 16gb
camera 16mp
adroid 8.1.00
Price 240,000
simu ni mtumba kama mpya kabisa na unapewa guarantee ya mwaka mzima
mawasiliano zaidi 0658644485
Habari,
Nauza simu mpya aina ya tecno kwa bei za chini au bei za jumla,
Simu zina warrant ya mwaka mmoja na ikitokea imekusumbua au ukihitaji kufanya service utafanyiwa katika vituo vya Tecno (calrcares)
Kwa mahitaji ya matumizi binasfi au kufanya biashara naomba nicheki DM au 0658644485 kwa...
Habari,
Kama wewe ni mdada mrembo ambaye unahitaji mtu wa kukuliwaza, kampe, story + outing kukutoa stress na kukufanya uwe na Furaha na kujua dhamani yako naomba PM tuongee zaidi,
NB: sio kwa nia mbaya wala kuharibu uhusiano kwa walio ndani ya mahusiano,
karibuni wadada wapwekeeee
Kwa mahitaji ya Live Band karibu saana upate burudani nzuri kutoka kwetu, tunaimba nyimbo aina zote (COPY) tunapiga katika event yoyote. Lounge / Grill, Hotel / Bar, Beach / Club Harusi / send off.
Tunapatikana Majumba sita Dar es salaam. Gharama zetu ni nafuu sana.
Karibu.
For the needs of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.