Habari ya asubuhi wanajamvi naomba yeyote mwenye uzoefu na suala la wadada wa kibongo kufanya kazi salon za kuchora hina huko Oman
naomba anifahamishe yanayotendeka huko.
Habari za asubuhi wanajamvi,wanafamilia tumejikuta katika njia panda baada ya mdogo wangu wa kike(mtoto wa bamdogo) anaishi na wazazi wangu kua rafiki yake ambae alikua Oman anafanya kazi katika salon ya kuchora hina amekuja kumchukua ili waondoke wote wakajiunge katika kazi hiyo.Wanafamilia...
Habari za jioni wanaJF,poleni kwa majukumu.Nimejaribu kufuatilia hizi pads tunazotumia akina dada nimegundua ziko za aina nyinginyingi zikitofautiana kwa muonekano,texture,hadi utendaji kazi wake.Kinachonitatiza hadi kuamua kuwashirikisha wanajukwaa ni kuwa,kumekuwepo na pads ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.