mie nadhani adhabu zinazotolewa shuleni ni sehemu ya mafunzo kwaajili ya kumuandaa mwanafunzi na kuyakabili maisha yake ya mbeleni,yaani ni sehemu ya kujifunza stadi za kazi,akichelewa akapewa adhabu ya kulima shamba hapo ni sawa maana anajifunza kulima,yawezekana nyumbani kwao hata hajawahi...
Huo utapeli mbona upo toka kitambo sana,mwambie asitume na akimpigia tena amchane makavu,nshashuhudia watu wawili wakipigiwa simu za hivyo,uzuri wakareport kwa wakuu wao wa idara na ikajulikana kuwa ni utapeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huo ndio ukweli,ukitaka kuifatilia pension yako lazima form ijazwe ulikokua unafanya kazi hapo ndipo utapojua kua umejiongezea matatizo maana riba ya mkopo inaongezeka kila mwezi na faini juu ya kuchelewesha kulipa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.