Search results

  1. Tabrett

    DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

    mie nadhani adhabu zinazotolewa shuleni ni sehemu ya mafunzo kwaajili ya kumuandaa mwanafunzi na kuyakabili maisha yake ya mbeleni,yaani ni sehemu ya kujifunza stadi za kazi,akichelewa akapewa adhabu ya kulima shamba hapo ni sawa maana anajifunza kulima,yawezekana nyumbani kwao hata hajawahi...
  2. Tabrett

    Matumizi ya simu wakati wa mvua yanaweza kuleta madhara endapo radi itapiga?

    umemaliza kila kitu,ambaye hata elewa hapa basi hatokaa aelewe maisha yake yote
  3. Tabrett

    Ufugaji samaki kwa Vizimba (Cage Fish Farming)

    Haitokei ajali hapo hicho kizimba kikachanika samaki wakapotelea ziwani?uimara wa hizo nyavu ukoje?
  4. Tabrett

    Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

    Huo ndio ukweli mchungu,kikubwa ni kuhustle zaidi na wala sio kujinyima zaidi
  5. Tabrett

    Ushauri kuhusu Network marketing

    [emoji38][emoji38]
  6. Tabrett

    Nimeangusha pesa ya rambirambi 300,000/= cash mchana huu

    Sadaka,fungu la kumi Kuna mahala umeyumba
  7. Tabrett

    Natamani kumpost...

    [emoji28]
  8. Tabrett

    Simu kutoka kwa Afisa Utumishi TAMISEMI

    Huo utapeli mbona upo toka kitambo sana,mwambie asitume na akimpigia tena amchane makavu,nshashuhudia watu wawili wakipigiwa simu za hivyo,uzuri wakareport kwa wakuu wao wa idara na ikajulikana kuwa ni utapeli Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Tabrett

    Ndugu zangu watanzania, Naandika kwa Uchungu Mkubwa

    Njia ya muongo ni fupi sana kama mkia wa sungura Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Tabrett

    Jeshi la polisi limenikabidhi simu yangu iliyopotea leo. Hongera Polisi.

    Siku hizi smart phone zinapatikana kiurahisi mno,bila hata longo longo ni kulipia tuu hela ya utafutaji then unaitiwa simu yako!
  11. Tabrett

    Kuangamiza panya

    Wanyime chakula watahama wenyewe!
  12. Tabrett

    FRIDGE NDOGO INAUZWA.

    Hata mie yangu yanaona hivyo hivyo,mwaka mmoja tuu!sidhani
  13. Tabrett

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    Vipi hali yako ya pua, hupati mafua ya mara kwa mara.
  14. Tabrett

    Tafadhali naombeni msaada wa kutambua kitu hiki na matumizi yake

    Ukisikia kigodoro basi ndio hiko,kiko na tite zake special za kuvalia
  15. Tabrett

    Zari: Success is not sexually transmitted !

    Duh!legue ya viingereza
  16. Tabrett

    Nawezaje kuacha kazi huku nina mkopo benki?

    Na huo ndio ukweli,ukitaka kuifatilia pension yako lazima form ijazwe ulikokua unafanya kazi hapo ndipo utapojua kua umejiongezea matatizo maana riba ya mkopo inaongezeka kila mwezi na faini juu ya kuchelewesha kulipa!
  17. Tabrett

    Natafuta mke ambaye ni 'old fashioned'

    Akamuoe Tunda babaake si alikua mkali[emoji41]
Back
Top Bottom