Search results

  1. Engineer2

    Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Damas Mwaipaja, Senior Academic Master & Mwl wa Adavanced Mathematics ! pale Mkwawa high school
  2. Engineer2

    Mjadala: Shule za Kata kulikomboa taifa

    Mkuu huo si ufundi ni stadi za kazi
  3. Engineer2

    Mjadala: Shule za Kata kulikomboa taifa

    Hivi kumbe ufundi unahitaji watu waliofeli? nilidhani ufundi unahitaji watu wenye uelewa mzuri wa masomo ya sayansi na hesabu, hii dhana ya kuwa kila anayefeli apelekwe kwenye ufundi ndiyo inachangia sekta hii kutokua au kuwa na mafundi vihiyo katika nchi hii. Ufundi ni taaluma inayohitaji watu...
  4. Engineer2

    Majanga: Nimemshika shemeji yangu makalio

    Ni askofu wa Anglican na si KKKT, Ni katika kuweka kumbukumbu vinzuri, kesi ipo mahakamani
  5. Engineer2

    Kwa wenye magari binafsi piteni hapa

    Phd = pengine huna degree..
  6. Engineer2

    Msaada kuhusu kutumia CRDB MasterCard visa nje ya nchi

    Nenda tawi lolote la crdb kuna form ya kujaza,
  7. Engineer2

    Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    Mkuu umenifanya nicheke sana, poti lenye ugali? Ilikuwa mchana au Usiku ili niulize swali la nyongeza..
  8. Engineer2

    Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam lawashikilia Mkandarasi Mkuu na Mhandisi wa Wilaya

    Main contractor si mhandisi mkuu, kwa kiswahili main contractor huitwa mkandarasi mkuu
  9. Engineer2

    Dereva aliyemgonga Trafiki eneo la Bamaga afikishwa mahakamani

    Nilikuwepo eneo la tukio siku hiyo, nashangaa polisi kumpeleka mahakani kwa traffic offense, nadhani hata uelewa wao nao ni mdogo, mimi si mwana sheria lakini mtazamo wangu ni kuwa alitumia gari kwa makusudi kumwua yule polisi, hakuwa kwenye msafara, wenzake walioingilia msafara walisimamishwa...
  10. Engineer2

    Dereva aliyemgonga Trafiki eneo la Bamaga afikishwa mahakamani

    hivi kesi za mauaji zina dhamana? si kaua huyu?
  11. Engineer2

    gari!

    Ingia website ya tra wameweka formula ya kodi, ni rahisi kuitumia
  12. Engineer2

    Top ten wonderful names from Tanzania

    Matatizo BoiMtoto (Kigurunyembe TTC 1999 -2001)
  13. Engineer2

    Viwanja (2) vinauzwa Dodoma

    Bei ni kiasi gani?
  14. Engineer2

    Polisi Mbeya na Kashifa ya Mwanafunzi Kubakwa na Mwalimu Wake

    Ugonile mwamakula, unatumia kinywaji gani tafadhari? You have made my day
  15. Engineer2

    Mawaziri wa JK wagongana

    Mama Terezya hongera kwa kujali mazingira na afya ya viumbe waliopo tanzania, hayo wafanyao hao wawekezaji huko kwao hawathubutu hata kidogo kufanyaa, endelea hivyo hivyo na tutakupa majina ya wengine ili uwafungie. Mzee kagasheki kwenye hili umechemka waombe radhi watanzania, ni heri tuwakose...
  16. Engineer2

    Nasumbuliwa na shoga flani yupo chalinze

    Acha uongo na kuchafua wenzio, hiyo number imesajiriwa kwa jina la joram, sema wewe unatakata kumchafua joram tu
  17. Engineer2

    Salamu hiizi zinakera

    Tutumie hii ya miaka ile: Uhuru! Kazi ya tanu!
Back
Top Bottom