Wanajamvi poleni na harakati za kujikwamua na mbinyo wa maisha. Nawasilisha kwenu yeyote au kama una kijana aliye serious na kilimo na Ufugaji basi ani PM. Eneo la shughuli hii ni Mkuranga miundo mbinu imekamilika kwa 45% maji ni ya kutosha. Karibuni
Wadau hasa waliopo Arusha, Nahitaji haraka Laptop yenye kasi kwa ajili ya kazi zangu. Bei isiwe zaidi ya laki TANO
Mwenye nayo anijuze kwa namba 0785 847 867
Kwa maana hiyo kilo moja ni km 25. gharama ya sh 1465 kwa kilo ya gesi bado kubwa, hitihada zifanyike ipungue hata ifikie nusu yake, ili tujikomboe kwa pamoja. " MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA INAWEZEKANA" tujipange tu na Rasilimali zetu tulizo nazo vizuri.
Hizo riba ndiyo zinasababisha mkopaji ashindwe kulipa mkopo na kupelekea majanga ya kuchukuliwa/kuuzwa kwa mali zake kama nyumba na mashamba na hivyo kusababisha migogoro katika familia nyingi hivi leo. Benki Kuu wasimamie hili jamani!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.