Kuna kiwanja kinauzwa jirani mbezi Luis pr school, njia ya Goba unaingia Kama km 1 toka lami. 22*20m ni 12ml eneo lote limejengwa na nguzo ya umeme iko getini. Eneo limezungushwa nguzo na fencing wire. Anayeuza anamiliki nyumba hapo. Karibu
0752306076
Mtoto alifanya maamuzi ya kumpeleka baba yake ambaye alikuwa Mzee sana kwenye Makazi Maalum ya kulelea wazee ya Kanisa Katoliki iliyokuwa CHINI ya uratibu wa Padre. Alifanya hivyo Baada ya kushauriwa Na mkewe aliyekuwa akiona Ni kero kumlea baba Mkwe wake nyumbani kwao.
Ofisa katika sehemu ya...
Joel kwanza pole sana kwa yote. Kukosa wazazi au hata ndugu kweli kumechangia hili. Bila kujijua umekosa upendo na ktk maisha unaamini hela tu ndio kila kitu. Na huu ndio msukumo uliokufanya uitafute hela kwa nguvu na kuitumia kwa nguvu hiyo hiyo. Huyo CEO alisimama kama baba akakuona hatari...
Poleni wafiwa, Mungu awatie nguvu nimelazwa hapo na mtoto si Mara moja. Alikuwa anajali wagonjwa, Mungu awasaidie wapate mtu wa kuiongoza manesi wake wengine hovyo sana niliacha kwenda sababu hiyo. Sikujua ni ndugu na surgeon Leonard Lema naye alikuwa mzuri na kichwa sana. Poleni wafiwa
Ulienda wapi we mwenyewe umeenda kunywa maeneo ya chini ulitegemea nini. Kila mkoa kuna uswazi na high-class yake. Ndio maana ulikutana na hao watu wanaofanana na upeo wako mfupi ukaubeba hivyohivyo. Jaribu kutafta high-class wakutembeze ukienda tena.
asante sana miaka 2 ni tosha kwa kuanzia project ikikua nitatumia hizo za balton. Kkoo nilikuta 12x4m ni 150,000 nitajitaidi kuleta feedback nikifanikiwa
Habari wadau je zile nylon za kufugia samaki kuna aliyewahi zitumia, kuna changamoto zozote ukilinganisha na kuchimba na kujengea. Nilitaka kuanza ufugaji mdogo kwa kutumia liner badala ya kujengea. Ushauri please
Asante kwa utaalam, ningependa kusaga unga wa majani mfano mlonge muarobaini hata mbogamboga ili itumike kwa kinga na chakula kwa mifugo na binadamu. Je mashine ya kusaga nafaka itafaa au? Nitumie procedure gani kuhifadhika muda mrefu. Asante
Maeneo yanayofaa kwa makazi na mashamba yako kati ya kilometa 70 hadi 85 toka Dar es Salaam barabara ya kwenda Morogoro. Heka 15 kila heka 1 milioni 2 na laki 3. Heka 10 kila heka 1 milioni 2 na laki 5.
Heka 10 kila heka 1 milioni 3. Heka 20 kila heka 1 milioni 3 na laki 5. Na heka 500 zipo km...
I see.... Tuma hata mtu tu awaffikishe shule wazazi sijui watakua na hali gani. Afu sijui wazazi wanawaza nini unakutana na vitoto std 1 alfajiri kwenye mabasi kweli wanakua na utulivu na amani ya kusoma hawa? Mkuu fungua daftari wengine wana namba za wazazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.