Search results

  1. F

    Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi wa Corona ni heshima ya kwamba vipimo vyetu viko vizuri

    Huyu nayeee!! Kwani kuwa na positive nyingi inamaanisha vipimo viko vizuri?
  2. F

    Corona imenisaidia kuacha tabia niliyotamani kuacha kabla

    Usikatishwe tamaa kwamba utarudia tena. Hata kama hukuwa na nia ya kuacha, pengine kirusi hiki kimekupa nafasi ya kujitathmini na kuanza upya. Weka nia ya kwamba hutaki kurudia tena kwa kuwa umeona kuna endapo utafanikiwa kuacha.
  3. F

    Tuijadili hii kauli juu ya wanawake

    Nawapenda sana wanawake. Ingawa wapo wengine mawenge lakini kwa ujumla nawathamini, nawajali na ninawahitaji sana maishani.
  4. F

    Sitapost ujinga tena JamiiForums

    Umeamua vyema. Hongera.
  5. F

    Mwanafunzi wa chuo amuua mwanae na kumficha uvunguni

    Halafu cha kushangaza wale wanaowasubiri watoto kwa hamu na kwa heshima zote wanajifungua kwa shida pengine hadi operation. Lakini hao wanaojiandaa kuwanyonga, wanachomoka kiulainii. Kweli the wonders of this world shll never end.
  6. F

    Napatwa na hizi hisia kila mara...nifanye nini mimi?

    Fanya utaratibu wa kupata huduma ya maombi ya kufunguliwa. That's a sprit for real. Na ukifanya mchezo unakufa kweli very soon. Chukua hatua haraka.
  7. F

    Vodacom hii imekuwa kero

    Wapo kibiashara zaidi. Wanatudanganya wateja wao bila hata aibu. SITAKI NA SIPENDI KUSIKIA HABARI YA OFFER. Ila hii YATOSHA mi nimeikubali. Siwafagilii lakini tangu nianze kuitumia naona inalipa. Na ukitaka kuwakomoa fanya hivi. Weka credit inayotosha kununua package unayoitaka, ukishaipata hiya...
  8. F

    Nimetembea na ‘house Girl’ wangu na sasa ana mimba

    Samahani kwa hili swali; wewe ni mkristo au muislamu? Kama ni muisalamu, kwa kuwa imani yajo inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja, basi fany utaratibu wa kumuoa. Hata kama ulikuwa huna utaratibu wa kuwa na wake wawili, kama mwanaume inabidi tu uwe tayari kulipia madhambi ya kumsaliti mkeo kipenzi...
  9. F

    Waraka: Kanisa Katoliki laandaa waumini uchaguzi 2010

    Hili jambo tunahitaji kuliangalia kwa makini zaidi pengine kuliko tunavyoliona sasa. Mimi binafsi bado naamini bado kuna shida kubwa kwenye swala zima la elimu kwa wapiga kura. Bado sijasikia vizuri kile ambacho kanisa Katoliki limeamua kufanya mwaka huu, lakini naona bado ipo haja kubwa sana ya...
  10. F

    Giza la September

    kama hatutafanya utaratibu wa kutenganisha siasa na utaalamu tutaendelea kuumia tu.
Back
Top Bottom