Search results

  1. Zed

    Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

    Mtu anajiita mende chooni ana akili ya kunyambua utimamu wa siasa za hila za chama cha mapinduzi na mapandikizi yake kweli?????
  2. Zed

    Chanjo ya kwanza ya Malaria yaanza kutolewa kwa Watoto barani Afrika

    African Union kila uchao mikutano ya maraisi. Ila sijasikia mikutano ya wanasayansi wake kuhusu ugnduzi wa chanjo salama! Wazungu watatumaliza na kutufanya wanyama wa majaribio.
  3. Zed

    Aliyesababisha Radio One na ITV kuanguka kutoka kilele cha tasnia ni nani?

    Waandishi wa IPP Media walipokubali kuteuiwa kwenye nafasi za kisiasa ulikuwa mwanzo wa kilo cha ITV na Radio One.
  4. Zed

    Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

    Nani amesema ahadi ya Japan haipo? Unaweza kunithibitishia? au ni ramli tu?
  5. Zed

    Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

    Mengi husemwa na hata uzinduzi hufanyika lakini hakuna linalofanyika. Mfano ni barabara ya njia mbili mpaka Holili iliyofadhiliwa na Japan kwa mardi wa EAC na kuzinduliwa na Samia na Uhuru Kenyatta ipo wapi? Jiji limekuwa slum kubwa... mipango hakuna. Mkuu wa mkoa anasifia bangi ya Arusha ni...
  6. Zed

    Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

    Wewe weka hoja za Mwanza mezani, na sio kulalamika. Ikiwa jambo jema halitokei, haijalishi ni wapi au kwanani tutalisemea tu! Wazungu wanasema: two wrongs do not make it right👌🏽
  7. Zed

    Licha ya kuwa kitovu cha mambo ya kimataifa hapa nchini jiji la Arusha lipo hoi kwenye miundombinu

    Kwa kweli Tanzania inapoteza fursa za kiuchumi kwa serikali 'kuipotezea' jiji la Arusha. Uchumi wa nchi nzima ungelinufaika kwa ongezeko kubwa la uwekezaji, makusanyo ya kodi na fedha za kigeni iwapo serikali ingewekeza miundo mbinu mizuri katika Jiji la Arusha. Arusha ni kitovu cha utalii, ni...
  8. Zed

    Mahakama kupitia Jaji Mkuu imjibu Makonda. Kukaa kimya wananchi wataamini asemayo

    Hata mawakili wanaonana na mahakimu na majaji nje ya mahakama na kumalizana kwa rushwa. Hukumu inasomwa waliyokubaliana kwenye mabaa au mahoteli. Makonda amesema ukweli ukiwa huna fedha huna haki.
  9. Zed

    TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

    Elimu duni! Uelewa wa kiujima ukaririshwaji wa dhana endelevu wa mambo ndio unaofanya utukane badala ya kujibu hoja. Mjadala nawe nimeufunga kwani unaulewa mdogo wa mambo kufanya nawe dialogue !
  10. Zed

    TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

    Ukomunisti haukatai ukwell unaopingana na ujenzi wa tabaka la walionavyo na walała hoi! Kila anapinga matabaka yu pamoja nasi. Wapo wanaojiita Wakomunisti lakini wanajenga usultani kwa kuwarithisha watoto wao madaraka uwaziri ukuu wa wilaya n.k. na kuwaacha watoto wa wengine kuzurura kila...
  11. Zed

    TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

    TEC ni Taasisi pekee iliyo na viongozi wenye maono ya nchi na sio chawa wa kujipendekeza. Wanaoishtumu TEC hawana hoja ya kupingana nao, ila kutetea na kutaka kuuendeleza usułtani wa chama kile. Ukweli wake unawatishia sana mafisadi na madalali wa nchi hii! Ukisikia kelele gizani ujue jiwe...
  12. Zed

    Magufuli Ungekuwepo Leo nisingefanyiwa Haya. Pumzika Baba

    Mtabaki kumlilia Magufuli ila dawa si machozi bali ni kuweka fumo utakaongoza awae yoyote ataingia na hiyo ndio KATIBA MPYA vinginevyo ni pata potea:rolleyes::rolleyes::rolleyes:
  13. Zed

    Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

    Nikishudia kwa macho yangu binti wa miaka kama 8. au 12 hivi akifariki dunia kwa maumivu makali na wingine wakipelekwa Mt Meru hospital. Binti huyu alikuwa pacha mwenzake anaishi kwa uchungu mkubwa. Tuache udini hapa jambo hilo lisipoadhibiwa ipasavyo litaweza kujirudia.
  14. Zed

    Huenda Vice President Dkt. Phillip Mpango alikuwa kwenye shambulizi la hatari, akafichwa mahali. Hii ndio maana ya "Alikuwa kwenye kazi maalumu"

    Kujitokeze kwake na maelezo ya hiyo "kazi maalum" kumeongeza maswali kuliko majibu!
  15. Zed

    Wengi tulipoambiwa yuko kwa KAZI MAALUM hatukuelewa, ila kwa huu mtiririko hapa chini tutamwelewa vyema aliyetuambia hivyo

    Haiwezekani mtu akamatwe kama dhamana ya deni. Haiyumkiniki! Wanajamii forum tuwe na uelewa wa haki za binadamu kimataifa. Hata hapa haijawahi kutokea! Kwangu 'kazi maalum na wapi "ilitendeka bado ni Kitendawili chakutegua?????
  16. Zed

    Kuna uwezekano Dkt. Tulia akafanya mazungumzo na Rais wa Marekani Joe Biden

    Hakuna mwanasiasa wa hovyo kupata kumjua na aliyefika mabaraza ya juu kiajabu kama Ackson Tulia! Hebu shuhudieni lolote la kisiasa, kijamii, au kihistoria alilofanya kwa nchi au watu watanzania zaidi ya kudidimiza demokrasia na Bunge kwa mfano uvunjifu wa katiba na Covid 19. Wote wanaomshabikia...
  17. Zed

    We Missomisondo, umepigaje hapo

    No, The boy is creative! Nimependa his "unique style" nadhani huyu ndio namna mpya ya muziki!
  18. Zed

    UTEUZI: Rais Samia Amteua Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB)

    Hukusikia kwenye Bunge, hata Tulia alivyoingilia issues za wizara yake? kuna namna ya ku deal na issues za waziri Sio kumfedhehesha public.
  19. Zed

    UTEUZI: Rais Samia Amteua Adam Charles Mihayo kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB)

    Hili la ukanda linaonyesha jinsi ulivyofilisika kifikra. Watu wa kanda ya kaskazini wana historia ya ujasiriamali na utendaji mzuri lakini kutakona na kuwa wa kanda hiyo wanabaguliwa. kwa mfano Kimei. Hata Prof. Mkennda anachofanya kwenye wizara ya Elimu ni outstanding, lakini anapigwa vita...
Back
Top Bottom