African Union kila uchao mikutano ya maraisi. Ila sijasikia mikutano ya wanasayansi wake kuhusu ugnduzi wa chanjo salama! Wazungu watatumaliza na kutufanya wanyama wa majaribio.
Mengi husemwa na hata uzinduzi hufanyika lakini hakuna linalofanyika. Mfano ni barabara ya njia mbili mpaka Holili iliyofadhiliwa na Japan kwa mardi wa EAC na kuzinduliwa na Samia na Uhuru Kenyatta ipo wapi? Jiji limekuwa slum kubwa... mipango hakuna. Mkuu wa mkoa anasifia bangi ya Arusha ni...
Wewe weka hoja za Mwanza mezani, na sio kulalamika. Ikiwa jambo jema halitokei, haijalishi ni wapi au kwanani tutalisemea tu! Wazungu wanasema: two wrongs do not make it right👌🏽
Kwa kweli Tanzania inapoteza fursa za kiuchumi kwa serikali 'kuipotezea' jiji la Arusha. Uchumi wa nchi nzima ungelinufaika kwa ongezeko kubwa la uwekezaji, makusanyo ya kodi na fedha za kigeni iwapo serikali ingewekeza miundo mbinu mizuri katika Jiji la Arusha. Arusha ni kitovu cha utalii, ni...
Hata mawakili wanaonana na mahakimu na majaji nje ya mahakama na kumalizana kwa rushwa. Hukumu inasomwa waliyokubaliana kwenye mabaa au mahoteli. Makonda amesema ukweli ukiwa huna fedha huna haki.
Elimu duni! Uelewa wa kiujima ukaririshwaji wa dhana endelevu wa mambo ndio unaofanya utukane badala ya kujibu hoja. Mjadala nawe nimeufunga kwani unaulewa mdogo wa mambo kufanya nawe dialogue !
Ukomunisti haukatai ukwell unaopingana na ujenzi wa tabaka la walionavyo na walała hoi! Kila anapinga matabaka yu pamoja nasi. Wapo wanaojiita Wakomunisti lakini wanajenga usultani kwa kuwarithisha watoto wao madaraka uwaziri ukuu wa wilaya n.k. na kuwaacha watoto wa wengine kuzurura kila...
TEC ni Taasisi pekee iliyo na viongozi wenye maono ya nchi na sio chawa wa kujipendekeza. Wanaoishtumu TEC hawana hoja ya kupingana nao, ila kutetea na kutaka kuuendeleza usułtani wa chama kile. Ukweli wake unawatishia sana mafisadi na madalali wa nchi hii! Ukisikia kelele gizani ujue jiwe...
Mtabaki kumlilia Magufuli ila dawa si machozi bali ni kuweka fumo utakaongoza awae yoyote ataingia na hiyo ndio KATIBA MPYA vinginevyo ni pata potea:rolleyes::rolleyes::rolleyes:
Nikishudia kwa macho yangu binti wa miaka kama 8. au 12 hivi akifariki dunia kwa maumivu makali na wingine wakipelekwa Mt Meru hospital. Binti huyu alikuwa pacha mwenzake anaishi kwa uchungu mkubwa. Tuache udini hapa jambo hilo lisipoadhibiwa ipasavyo litaweza kujirudia.
Haiwezekani mtu akamatwe kama dhamana ya deni. Haiyumkiniki! Wanajamii forum tuwe na uelewa wa haki za binadamu kimataifa. Hata hapa haijawahi kutokea! Kwangu 'kazi maalum na wapi "ilitendeka bado ni Kitendawili chakutegua?????
Hakuna mwanasiasa wa hovyo kupata kumjua na aliyefika mabaraza ya juu kiajabu kama Ackson Tulia! Hebu shuhudieni lolote la kisiasa, kijamii, au kihistoria alilofanya kwa nchi au watu watanzania zaidi ya kudidimiza demokrasia na Bunge kwa mfano uvunjifu wa katiba na Covid 19. Wote wanaomshabikia...
Hili la ukanda linaonyesha jinsi ulivyofilisika kifikra. Watu wa kanda ya kaskazini wana historia ya ujasiriamali na utendaji mzuri lakini kutakona na kuwa wa kanda hiyo wanabaguliwa. kwa mfano Kimei. Hata Prof. Mkennda anachofanya kwenye wizara ya Elimu ni outstanding, lakini anapigwa vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.