Search results

  1. Feiaidan

    Ulaji wa mafuta Toyota Premio

    Ni mjerumani gani huyu
  2. Feiaidan

    Cx 5 Kluger au Dualis, ushauri

    Umechukua Cx 5 ya mwaka gani mkuu
  3. Feiaidan

    Kudrive umbali mrefu

    We jamaa ni mwenyeji sana wa hii barabara, kula five[emoji1477]
  4. Feiaidan

    Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

    Mkuu ni IST ipi yenye 150hp?
  5. Feiaidan

    Uwezo wa gari kukimbia angalia RPM sio KMH

    Kumbe crankshaft kwa kiswahili inaitwa Fito kombo? Aiseeh
  6. Feiaidan

    Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

    Alimkhini? Kumkhini maana yake ni nini? Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  7. Feiaidan

    Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

    We jamaa unakaa kwa Gadie, ni kituo flani unaacha barabara kuu unaingia ndani, unavuka vituo kadhaa, ndipo ukutane na Kwa Gadie. Wasalimie hapo Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  8. Feiaidan

    Hivi wanawake wanatamani tamani kama wanaume?

    Maneno mazito sana haya
  9. Feiaidan

    Asikwambie mtu, Premio tamu

    Ndiomana na mimi nilihisi ni D4 kwa jinsi alivyoisifia
  10. Feiaidan

    Naomba Msaada kujua bei za magari haya kwenye showroom za DSM.

    List ni ndefu na bado hayuko clear, hapo kumjibu labda wakisie anachohitaji.
  11. Feiaidan

    Naomba Msaada kujua bei za magari haya kwenye showroom za DSM.

    Hajajibiwa maana kaweka list ndefu sana, gari zote hizo, labda ampate aliyeko yard husika. Na hajui anataka nini, na bado hayuko clear, imagine kaandika Suzuki lakini hasemi suzuki ipi
  12. Feiaidan

    Asikwambie mtu, Premio tamu

    Hiyo engine ya 1990cc si ndio D4 ambayo inahitaji Premium fuel? Kwamba ukiweka fuel ya kawaida zinaiharibu engine taratibu, naona wadau wanazilalamikia na maintenance zake pia. Haya mambo pia wewe hujayaona? Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  13. Feiaidan

    Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kw hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry?

    Thanks for sharing, itabidi nikisome hiki. Ingawa naelewa watalamu wa kukodi watakuja na agenda zao za siri, but nadhani unawaelewa watanzania halisi walivyo[emoji23][emoji23] Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  14. Feiaidan

    Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kw hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry?

    Ukikodi watu wa kimataifa ujue na fungu(budget) itakayoelekezwa kwaajili ya mradi itakuwa ya kimataifa pia. Umenielewa? Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  15. Feiaidan

    Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kw hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry?

    Najua unachomaanisha ndugu, ingawa hapa umeanzisha hoja tofauti. Point ni kwamba, kama roles za post ni cross cutting, wataitwa watu wote wa related courses. Kuchelewa kwa miradi haimaanishi watalamu ni wachache, inategemea na sera za nchi, vipaumbele, budget, usimamizi, nk Iko miradi watalamu...
  16. Feiaidan

    Sekretarieti ya ajira tupeni ufafanuzi kw hizo ajira za PURA wasipewe watu waliosomea Petroleum Geology, Petroleum Engineering na Petroleum Chemistry?

    Inaonyesha wazi una personal interest na Petroleum courses, so kuna vitu unaweza usielewe. Nikupe mfano, TANESCO ni shirika la umeme, kwahiyo kipaumbele kiwe kwa waliosomea umeme sio? Wrong, kinachoangaliwa ni ROLES zipi huyo mtu ataenda kufanya kwenye hiyo post, utagundua kuna roles zinaingia...
  17. Feiaidan

    Ukitaka kuuza gari ya Ulaya/Marekani ni changamoto sana

    Kina Tata na Mahindra[emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom