Heloo wadau, nina project yangu ya kilimo na ufugaji katika mkoa wa kilimanjaro, sasa nauliza iwapo naweza pata kampuni inayohusika na kufunga mashine za kuvuta maji kutoka katika visima vilivopo shambani ,
nahitaji ushauri na wenye kuhusika na hilo.
mawasiliano 0767328063
Husika na kichwa cha, simu yangu ni aina ya Samsung note 5 (Verizon), sasa kuna zile sijui upgrade za Android version, je ikiwa rooted nafanyaje, me Sioux mtaalam sana kwa kweli ila nikielekezwa naweza
Hello members ,
Jina langu Renyo Msuya,
Nafanya kazi na makampuni ya kuuza magari kutoka japan kuja Tanzania.
Niulize swali lolote kuhusu magari na bei zake , pia tuna import magari kwa bei nafuu kabisa.
Nitakuwa najibu maswali na updates za magari .
Hi Applicant!
I have the pleasure to inform you that the RECRUITMENT TEAM has received, reviewed and thoroughly discussed your credentials and has finally made a final decision of calling you for a face to face interview.
BRIEF INTRODUCTION TO HUMAN CAPITAL CONSULTANTS CO. LTD.
We are A...
hello,
wandungu na wana jf wenzangu, nina shamba la hekari 20 mkoa wa kilimanjaro ,wilaya ya moshi vijijini kata ya kahe, karibu na shamba la miwa la TPC (walima miwa ya sukari).
hivo nataka mtu amabaye kweli kabisa ana hasira ya maisha na yuko tayari kujitolea katika kilimo na awe na interest...
Je unavitambua vyuo vikuu bora duniani?
Chuo kikuu cha Oxford kimeibuka kidedea katika orodha ya vyuo vikuu bora duniani ya Times Higher Education. Hi ni mara ya kwanza kwa chuo kikuu cha Uingereza.
Oxford imeisukuma katika nafasi ya pili, California Institute of Technology, ambayo imekuwa...
Hello wakuu, naomba kujua habari za visiwa vya commoro, kibiashara zaidi na maisha ya huko kwa ujumla, na je kuna watanzania wanapeleka biashara yoyote huko,
karibuni.
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, naomba kujua undani wa nissan civilian bus, maana nihitaji kwa matumizi ya biashara either ya daladala au kukodi, nimekuwa nikisikia habari nyingi kuhusu magari haya, ya kuwa sio mazuri, hivo naomba ushauri .
Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
Hello pipo, naomba kujua iwapo Tanzania kuna kipimo cha DNA. Na je ni bei gani!!?
Hawa watoto nataka nikawapime, coz simwelewi wife hasa huyu mtoto wa mwisho, nlikuwa masomoni kwa mda sasa mh, nahisi kama nilisaidiwa hapa. [emoji84]
Kampuni niliyokuwa nafanya kazi, waliwapa hawa jamaa contract ya u payroll na mambo ya malipo ya mafao.
Ni miezi 3 sasa mimi na wafanyakazi wenzangu tukienda kudai mafao yetu, huko LAPF, tunaambiwa payroll wenu hajaleta michango ya karibu miezi 6 sasa.
Tukiwafuatilia wana sababu kibao...
HABARI YA ASUBUI MADAU WANGU ROHO MALI YA MUNGU.jana nilipata khabar kuwa waganga wa tiba asil watakaguliwa na kuhakiki utunzwaji wa dawa asili kama zimeisha muda wake na mkemia sasa mkemia anakipimo cha kujuwa kizimba kilicho isha muda wake? na ambacho ni kizima? au inakuaje
Katika harakati za kurudi kijijini Leo, ili kuachana na kucheza pool na kuzunguka back bahasha ya khaki, hili ndo nimelikuta kijijini huko kahe - anapotoka yule mwanadada wa kusambaza sijui ni skendo ama ni kweli, anayeishi kama sikosei Uk or USA, anaitwa Jina laanza na Mange,
Mwekezaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.