Chadema ndio tatizo ndani ya ukawa wanaohudhuria vikao vya ndani wanalijua hilo ikumbukwe kuwa kuna wakati NCCR walikua hawaridhiki na mwenendo wa ukawa wakaonekana ni tatizo sasa ni CUF, jambo la kujuliuliza ni kwanini wote vidole wawanyooshee chadema. Mleta mada usimtishe mtu CUF itaebdelea...
Tatizo hufanyi research ila unakurupuka kuleta bandiko hapa,NCCR wanafanya kazi na ziara kama ila hawashiki attention ya media na siku zote media hutaka habari inayouza ndio maan NCCR hawaripotiwi sana, wanakimbiza mwizi kimya kimya baadae wanamsuprise ni technic nzuri pia
Si vizuri maoni binafsi kuyahusisha na kitengo au idara ya chama, kama viongozi ni vema tukajifunza kutenganisha vitu ujue ni wakati gani unaongea kwa niaba ya chama na utumie lugha ipi,pia ujue ni wakati upi unaongea binafsi na ujue utumie kauli gani. Vinginevyo ni vurugu
Ni suala la kujenga maana wanamkumbusha majukum na hilo si tatizo kwa UKAWA,kuwa UKAWA haina maana ufanye madudu ukifanya wanayofanya CCM utashughulikiwa tu mapema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.