Walisema wanaitaka Simba kama ambavyo Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi. Kwani Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi ni kwa kuwa Mamelodi ni mteremko au kwa kuwa itawapa kipimo kikubwa? Mamelodi waliitaka Simba 😁
Mpira unachezwa uwanjani, sio mdomoni na kwenye keyboard. kumbuka hata wiki mbili hazijapita, Rais wa Yanga na pia ni Rais wa Vilabu vyote Afrika alitamka hadharani kuwa fainali ya mwaka huu ya CAFCL ni kati ya Mamelodi na Al Ahly. Ingekuwa tunafuata maneno, kwa heshima ya rais wako hukutakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.