tokea nimeanza kusoma thread za vuguvugu za siasa we ndo wa kwanza kukuambia umefikiria mbali salute to you!!! bado hawajausoma mchezo we waache wapige kelele lkn 15 mgombea binafsi ndo dili
tchao
usiwe mvivu kushughulisha akili yako ndugu the proof is " wahay ulivokuwa unashushwa palikuwapo na watu waliokuwa wanaandika qur-an taktifu " in other side jaribu kufuatilia maandiko ya kipindi cha yesu yameanza kuandikwa lin " au hujii kwamba wewe ni wa agano jipya
u dnt ned to use power to understand cz nimeweka post 3 tofauti jaribu kuzisoma upya na uzielewa !!! n we huko makanisani kwenu ndo lugha mnatozotumiaga ku ague
Yesu Katika Injili
Kama ilivyodokezwa hapo awali,
Agano Jipya, na hususan vitabu
vitatu vya injili - lina nafasi
maalumu kwa Wakristo.
Wanavichukulia vitabu hivi vinne
kama mwongozo, kwa sababu moja
muhimu. Vitabu hivi vinne vya injili
viliandikwa KWA AJILI YA Wakristo
na viliandikwa NA...
Uchunguzi Makini Juu Ya
Agano Jipya
Ambapo Agano la kale lina
umuhimu mkubwa sana kwa
Wayahudi, kwa Wakristo halina
nafasi muhimu kiasi hicho ambapo
wao wanaliona kuwa kwa sehemu
kubwa ni mkusanyiko wa utabiri
wa manabii juu ya kuja kwa Yesu.
Amri na mafundisho yake hayana
uthabiti...
MAANDIKO MATAKATIFU YA KIKRISTO
Dini iliyofunuliwa kutoka kwa
Mungu ina nguvu na inakubalika
sawa sawa na vile ufunuo ulivyo na
nguvu na unavyokubalika. Kwa
upande wa ukristo, msingi huu
ambao ni mkubwa na mkuu kuliko
yote ni dhaifu kabisa kutokana na
kuingizwa mikono na akili za watu...
you have to think big
tatizo la elimu yetu ya tz inategemeana na mazingira na msingi wako binafsi!!! kwa hiio ni 50/50 xo angalia mbele unataka kuja kufanya nin!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.