R .I .P nape maana naona alie kuloga ameharibu kila kitu wew huwez kuongea pumba kama hizo mbele ya wananchi wenye macho mawili.nape watanzania wa leo usiwafananishe na wa miaka ya 90 suala la kagera wew ni mnafiki yule mama yupo sahih 100%
baada ya matokeo mabaya ya la saba,kidato cha 4,6,grade ,Diploma hatimaye serikali kutangaza mshahara mpya wa takhome 700000 utakaoanza mwezi August,limesemwa kupitia wizara ya elimu ili kuepushe ufelit usio wa lazima na kusuru taifa
baada ya kiu ya muda mrefu ya wanafunz waliomba UDSM mwak wa masom 2013-2014 kubaki na bumbwazi huku vilio vikitanda kwa kile kilichosemekana kua idadi kubwa ya waombaji kutolewa nje kwa kukosa vigezo.majna ya waliofanikiwa yap blog ya www.udsm.ac.tz
tatizo la serikali ya tz ipo mfukoni mwa watu tumesikia walimu wa grade na diploma mwaka huu wa 2013 matokeo yao si mazuri nawapa pole ndugu zangu tatizo ni sera mbovu ya serikali ya ccm ya sahihisha ufaulu uendane na kipato cha nchi kuweza kuwajili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.