Kalaniwa huyu kijana! Nadhani CCM watawauwa vijana wote waliowatuma na kushindwa kazi ili kuficha siri, isije siku moja wakaanza tena kuropoka walivyotumwa. Maana mi sioni hoja. Mimi kunakipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni binafsi tulikuwa tunakopeshwa kama motivation ya kuendelea kufanya kazi...
Nadhani mkandarasi hakuwa na tatizo. Tatizo ni hao wa 10%. Kama mhindi aligoma kutoa (kutokana na kuwa na uadilifu wa kutokutoa rushwa kuogopa kupunguza faida)
Issue nyingine kubwa ilikuwa ni madini "resources". Kwani UK, na U.S. waliamini ANC ni makomunist na wanasaidiwa na makomunist hivyo wangeweza kuwagauka baadaya ya kuchukua uhuru wakati huo hizo nchi zilikuwa zinategema south africa kwa madini. Yaani ni kama ilivyo Congo leo
Usingekuwa mjinga wewe usingejibu, ila kwa kuwa umejibu basi wewe ndiye mjinga na unajaza server. tena inabidi nikushitaki kwa MoDs unachafua jukwaa. Wewe huoni hii imepostiwa Jit-Chat? Hujui hii ni lounge? Hapa ni pahala pa kupeana habari habari
Acheni ujinga wa kinafiki. Hata mimi leo nikipata kazi Rwanda na kuwa ktk top position mtasema! Watanzania mtaacha lini kupika majungu? Mtu kama amekaa TZ miaka rudi bado unamuita mgeni? Mbona kama huyu jamaa kachangia kwa kiwango kikubwa ktk pato la taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.