Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia inapenda kuwataarifu kuwa dirisha la MAKISATU 2024 liko wazi.
Tunawakaribisha wabunifu wote kuwasilisha maombi yao kupitia link hapo chini.
https://makisatu.costech.or.tz/costech/makisatu
Mwisho wa kutuma...
Hatimaye yale malalamiko kwa bodi ya mikopo kwamba watu wamekatwa lakini deni halionekani kupungua. Baada ya kimya cha muda huku malalamiko yakiendelea wameamua kujibu. Ni wakati mwafaka kwa hazina nao kujibu.
Mtu kama huyu msomi mzuri tu kwa nini watu wanafikiri hawezi kuwa mkuu wa wilaya? Au kwa vile aliamua kujiajili kwenye tasnia ya sanaa. Naona kuna kasumba inaanza kujengeka hapa nchini ya kufikiri kwamba wengi wanojihusisha na sanaa ni watu ambao ni fyatu. Fikira hizi siyo sawa.
Mimi nimeshangazwa sana na unafiki wa baadhi ya watanzania wenzetu. Kila siku wanapiga kelele kuhusu corona na kumlaumu mheshimiwa Rais kwamba hachukui hatua ni hatua zipi wanazozitaka? Unafiki wako sasa mtu anakaa baa anakunywa pombe yake hana hata barakoa akimaliza anakuja jamii forum kupiga...
Haya maisha haya tuendelee kumuomba Mungu anatulinda sana hapa nimetoka kushuhudia ajali mbaya hapa Singida, Hiace na semi trailler. Hiace hautamani kuitazama mara mbili. Yaani polisi ndiyo wanawapanga barabarani mimi nimeshuhudia miili sita dah huzuni maisha ya watu🙆🏿♂️😭😭😭. Mimi napita tu basi...
Jana Kuna watu humu walikuwa wanajadili kuhusu uhaba wa mafuta ya kula.
Leo FAO wametoa takwimu Kuwa mafuta ya kula yameadimika kwa asilimia 14 duniani kote.
Tanzania siyo kisiwa changamoto hizi lazima tupambane nazo Kama nchi hakuna namna nyingine.
Jioni hii kwenye TBC aridhio nimemwona mtangazi Spensa Lameck akiripoti kutoka Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam . Je, itakuwa amerudi TBC akijiandaa kukiwasha kwenye kampeni tena kunako mwezi ujao? Picha sijapiga nilisahau kama kuna mtu ana picha atuwekee
Profesa Jay naona ni moja ya vijana wanaojitambua na hata alipopewa nafasi alihiti kwenye point kueleza matatizo ya watu wake.
Mwenye ile clip tafadhali ile ndiyo siasa na ule ndiyo utanzania wetu. Sisi CCM na wao wote tunajenga nyumba moja na maendeleo yakipatikana ni kwa ajili ya watanzania...
*Hivi majuzi TV ya CITIZEN ya nchini Kenya ilitumia lugha isiyo ya kistaarabu dhidi ya Rais Magufuli kwa kumuita "mkaidi" walipokuwa wakikosoa mikakati yake ya kupambana na janga la Corona ambayo wao wanaona ni mikakati isiyofaa. Baada ya siku kadhaa, Tv hiyo ilijishtukia na kuanza kuomba...
Kwako mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kamishina wa TRA, Paul Mhede. Waheshimiwa kinachoendelea sasa Karikoo kwa hawa wafanya biashara ni hujuma kwa taifa.
Wafanyabiashara hawa kwa sasa hawatoi risiti hasa kwa wateja wao wenyeji wanaonunua mzigo mkubwa na wa kati kwa bei za...
Nachukua fursa kuwapongeza viongozi wa kisarawe kwa kazi zao nzuri. Leo nilifanikiwa kuhudhuria kongamano la wajasiriamali mali liloratibiwa na viongozi wa wilaya na NEEC .
Katika kongamano hilo la siku mbili leo na kesho mgeni rasmi alikuwa waziri jafo. Nimesikiliza semina zilizotolewa...
MHESHIMIWA RAISI NAJUA WEWE NI JEMBE NA NINA IMANI NAWEWE KUWA UKIPATA TU TAARIFA HII BASI HUYU MAMA MJANE ATAKUWA AMEPATA HAKI YAKE. UISHI MIAKA MINGI NA MUNGU AKUBARIKI.
MAMA MJANE ADHURUMIWA NA MGODI WA NORTH MARA
Nimepata kisa cha JOYCE AYUBU MRIRI kinahudhunisha sana . mama huyu...
Habari zenu wachumi naomba msaada wa soft copy ya vitabu hivi mathematical methods for economics by Michael w Klein na fundamental methods of mathematical for economics samahani kwa kuweka Habari hii hapa ingawa siyo ya siasa lengo wadau waione wanisaidie natanguliza shukrani
Habari zenu wachumi naomba msaada wa soft copy ya vitabu hivi mathematical methods for economics by Michael w Klein an fundamental methods of mathematical for economics natanguliza shukrani
Wanachama zaidi ya 500 wa CCM huko Muleba na diwani na wao wamehamia CHADEMA kwa madai ya diwani wao kutotendewa haki kwenye kura za maoni.
Chanzo: Wapo habari jioni
Mheshimiwa makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Leo alitembelea na kufungua sherehe za extravaganza zinazoendelea uwanja wa taifa na kilele kitakuwa kesho jumamosi. Mh makamu wa rais alikuwa Pia pamoja na president wa kanisa la wasabato ulimwenguni dr teddy Wilson Pia alikuwepo...
Ndugu waJF nilikuwa napitapita kule Facebook nikaiona picha moja kwenye ukurasa wa EATV. sasa ni kajiuliza haya ndiyo maisha bora tuliyoahidiwa watanzania hii ni baada ya miaka hamsini ya uhuru hebu kanga lie ndugu mwanajamii forum Kisha tujadili kwa pamoja wale watalaam wa matusi MNAKARIBISHWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.