Huduma hii inahitajika sana, mimi ni mmoja wa wanaohitaji, lakini unapoanzisha usifanye uhuni kama wa watu wengine ambao wanakuja kuiba mawazo yetu wao wanawaomba watu watume michanganuo , watu wengi wanatuma kisha wanamchagua mmoja na kumpa zawadi huku wakibaki na michanganuo ya watu wengine...
Wasalaam,
Ni maneno mazuri sana, yamejaa hekima na busara, kama wakiyatendea kazi. lakini najua watayapuuza na kuona ni majungu na fitina na wifu, kama ilivyo kawaida yetu wabongo. lakini ukweli unabaki pale pale kwamba yachukuani maneno ya Erick muyatendee kazi. Munaweza kumpauuza Erick sawa...
Jamani, Jamani naona huruma kwa wa Tanzania wenzangu, mimi nilikwenda mpaka kwenye ofisi zao za hapa kinondoni.kulikuwa na foleni ndefu sana ya tunaotaka kupanda.nikaambiwa kuwa siku za kuvuna ni mbili kwa wiki yaani alhamis na ijumaa. nikawaza isije kuwa wanakusanya kwanza hera zetu ndipo...
Mastar wengi wa hapa bongo wanauza na kusafirisha unga. hapa kwetu kinondoni unga unapatikana sana karibu kila pap unayoiona ni kituo cha unga. polisi wanakuja wanachukua chao wanaondoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.