Ni hivi punde nimenunua laptop na niliyemwagizi alinitumia na akaniambia haijawa installed na program za office , kwa upande wa maswala ya IT kusema ukweli niko NIL. wakati nafanya utaratibu wa kununua hizo program kwan kuna watu wananiambia kuna nyingine fake yaani after installation the...
Inasikitisha sana wadau uwanja unaitwa wa kimataifa lakini hakuna maboresho yoyote, kwa mfano upande wa arival international and domestic passengers wanategemea matundu mawili ya choo,mvua zikinyesha ni aibu tupu makopo kila kona ya kukingia maji yanayovuja,cha kushangaza uongozi ni mahodari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.