Rais yeye mwenyewe, PM Rostitam Aziz, Makamu Hussein Basha, spika Serukyamba, Jasusi namba 1 A. Mwang'o...
My take; hilo litakuwa the most hopeless cabinet ever existed tangu Uhuru.
Watu wengi hawaujui huu ukweli kuwa ugomvi kati ya Mengi na Muhongo ndiyo umezalisha yote hayo. Bongo ni upuuzi mtupu! Siasa chafu tu ndo zimetawala. Majitu ni rahisi kununuliwa kwa vifedha na wafanyabiashara uchwara!
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina...
Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Songea unahujumiwa na Chadema, mmoja wa washirika wa UKAWA.
Leo katika soko kuu Songea kumefanyika mkutano wa UKAWA lakini mwanzo mwisho mkutano huo umetawaliwa na kaulimbiu za peopleeeees, power!. Aidha mwanzo mwisho jamaa walikuwa wananadi chadema tu wakati...
UKAWA taraatiiiiiiiibu inayeyuka na sura za uvyama kwenye umoja huu taratiiiiibu zinajitokeza. Kwa wafuatiliaji wa vituko vya.hao.jamaa naamini mtakubaliana nami!
We can't simply let the security of our Nation be jeopardized by the mere hooligans chadema members!. We swear to protect our people at whatever cost of property and blood, enough is enough!
J.K is the greatest politicians ever appeared in TZ, agree or not!. The man knows well how to maneuver!. UKAWA have wholy entered "The trap"! Safi J.K, komaa nao kwani ulishawajulia hao!
Zipo taarifa kuwa ukawa wanapanga kufanya timing ya.kuitisha press conference na kuelezea makubaliano kati ya viongozi wa vyama vya siasa na Rai Kikwete huko Dodoma, kwa upotoshaji mkubwa. Taarifa zinasema kuwa mpango huo.utahusisha upotoshaji kuwa rais amekubali muundo wa serikali tatu na pili...
Jana tarehe 27.08.2014 uchaguzi wa chama Jimbo la Songea mjini umefanyika kwa mbinde baada ya wajumbe kutishia kuugomea uchaguzi huo wakimtuhumu m.kiti wa chadema mkoa Joseph Fuime kudaiwa kupandikiza mamluki kwa faida zake za kisiasa.
Imebainika kuwa Joseph Fuime kwasasa anafanya siasa...
Fuime pia amedaiwa kuwa na mawasiliano na watu wa ccm. Kama anakataa ukweli aje hapa akanushe kukutana na mbunge Nchimbi tarehe 17.08.2014, nyumbani kwake Mateka, Songea, usiku wa manane na akapewa mil. 20 ambazo ndizo ananunulia mahindi na kisha kuyauza NFRA. Kituo chake cha kununulia mahindi...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Songea kimehitimisha msambaratiko mkubwa unaokikumba chama hicho nchi nzima. Ni baada ya uchaguzi wa jimbo kushindwa kufanyika, baada ya kuahirishwa mara tano na mara ya mwisho ulikuwa ufanyike tareh 24.08.2014 ukaahirishwa. Joseph Fuime, mwenyekiti wa mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.