Mandella siku hizi hawa wazee wa feva trick zao ziko kama mbili kubwa za kujificha ndani ya magari private pembeni ya barabara....hasa saloon cars au noah....ukiona mahali pana hicho kibao cha kuelekeza speed ndogo...wewe angalia gari pembeni utakuta kuna moja ime park mkao mzuri wa kupiga picha...
Mkuu kumbuka sio wote walio CCM wataipigia CCM....
Mimi mwenyewe nina kadi ya chama ambayo hai to mwaka 2003 nasita piga kura kuichagua CCM.
Tumechoka na mambo yanayofanyika ndani ya nchi yetu....kupitia chama cha kizeee....
muungano wa mawazo mbali mbali, jinsia yakike na kiume, viungo mbali mbali huzaa mfumo, uhai, maisha, au maendeleo ya kweli....shikamana sawa sawa ukawa.
...chama chetu cha siku zotee kimepoteza dira ndio maana imetubidi tu uuze jina na sio sera chama.
ana tupa ahadi za viwanda; ata jenga viwanda vingi...bila ya kuwa na malighafi nzuri kwa kuwekeza kwenye kilimo viwanda vitafanya kazi gani?......kilimo kwanza ndio vifuate viwanda. ....pembejeo na elimu ndio ukombozi.....wengine wanapuuza na kutuita malofa.
hawa wanaojiita chama chetu ni kile...
hivi kwanini wananchi tuna danganywa na kupumbazwa kila siku na viongozi tuliowaamini wa chama hiki?
libya wao waliamua kumuondoa rais aliyekuwa madarakani kitu ambacho ni uhaini....hapa kwetu tuna uchaguzi wakumtafuta rais ajaye hatupindui nchi.... au kukiondoa chama hichi na kukipa chama...
miaka hamsini na neema zote tulizo barikiwa...bado kuna watu wengi wanakula mlo mmoja, elimu chini, kilimo duni, maji taabu. kila kona ukipiga hodi ni madudu na uchafu. #mabadiliko
Change doesn't come from Washington. Change comes to Washington. --- Barrack Obama.
mabadiliko yana hitajika kila kona na pembe ya dunia hii...wewe unatuambia chama chetu ni kile kilee ooohh ni kile kilee, CC... ni ile ileee oooo ni ile ile... maana yake ni kwamba hakuna jipya la kuwafanyia...
Magazeti na wenye mitandao tusaidiane ku retweet hii post kwenye mitandao mingine ....huyu baba amebobea ....falsafa yake inatakiwa inufaishe taifa zima Kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.