Ndugu zangu, uchaguzi wa mwaka huu, kama zilivyokuwa kwa chaguzi zingine zilizopita, pamoja na kutumia gharama nyingi, lakini pia zimeacha makovu mengi na hata kuhatarisha usalama wa nchi.
Pamoja na mikakati mingi ya hadharani na gizani, ni dhahiri kwamba, TIS nao hawakuwa mbali na mchakato...
Sipuuzi kinachofanywa na Rais Magufuli, lakini najaribu kuwakumbusha hasa wanandoa wengi ambao walizianza safari za ndoa zao kwa mbwembwe nyingi na bashasha, kwa kulishana keki kwa midomo, kwa kushikana mikono na kutembea pamoja kila pahala n.k., ..., lakini leo ndoa hizo hazitamaniki machoni...
Hivi kazi ya kitengo ni kubaka demokrisia au kulinda maslai ya Taifa?
Kama wenye nchi (wananchi) wamefanya maamuzi, kwanini kitengo kisimame kinyume nao?
Ni kweli kitengo kipo kulinda maslai ya taifa au kinatumika tu kulinda watawala?
Maswali ni mengi, lakini ni bora ya madikiteta walioamua...
Ndugu zangu watanzania,
Naomba nipendekeze kwamba, baada ya Uchaguzi wa 25/10/2015, na ccm kung'olewa madarakani, maanzimisho ya sherehe za UHURU wa Tanzania ziwe zinafanyika tarehe 25/10 kila mwaka, kuweka historia njema kwa Taifa jipya lenye mustakabali chanya.
Nawakilisha...!
Ndugu zangu watanzania,
Kila jambo lenye mkono wa Mungu linaonekana mapema tangu asubuhi...!
Hakika Mungu yupo nyuma ya MABADILIKO TANZANIA, maana amewasikizisha Wachungaji, Maaskofu, Mapadre, Mitume na Manabii wa Kanisa la Tanzania, kuiheshimu siku ya UKOMBOZI WA TAIFA LAO kwa KUFUNGA MILANGO...
Wanajamvi, mnajua ma-ccm bado yanaamini watanzania bado ni wajinga kupindukia? Ndio maana bado hawaamiini watanzania wana uwezo wa KUFANYA MAAMUZI YA BUSURA YA KUWATOA MADARAKANI!
Mifumo feki ya elimu waliyotubambika kwa miaka hii 54, ililenga kuwafanya watanzania wawe na uwezo mdogo wa...
Ichukiwe na wananchi mara ngapi?
Sasa hivi imebakiwa na kipindi kimoja tu cha habari, kile cha saa tatu usiku cha BBC...!
Watayajutia maamuzi yao very soon.., wamesahau wao wanafanya biashara, wakajilinganisha naTBC inayochota mapesa ya walipa kodi...!
Ilikuwa miaka, miezi na sasa zimebaki siku chache watanzania wafanye maamuzi 'magumu' ambayo "WALA UHURU" hawajawahi kuyafikiria wala kuyaona...!
Pamoja na dalili zote njema kwa UKAWA kuingia IKULU safari hii, wasiwasi wangu bado uko palepale, kwamba hawa jamaa wavaa nguo za kijani, watatupisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.