Ana bahati kwamba kila Jimbo lina sheria zake kuhusu Hukumu ya kifo. Jimbo alilopo halina/halifuati hiyo sheria, angekuwa kama Texas huko nadhani wangemnyonga yule.
Hahaa, ukali wake ni kama wa Flu shot kama ulishachukua, kwa wale ambao wameshapata wanavyoelezea. Sore arm tu kidogo basi. J&J watu wanaikataa, eti wanawategeshea minority tu. 😁 😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.