Peleka pumba zako huko chaguzi zilizofanyika.zimefanyika huku daftari la wapiga kura likiwa halijaboreshwa
Wewe unaesema asilomia 85 kwa takwimu zipi au.ndo.mchumia tumbo kama wana ccm wenzio
Nimepewa taarifa hapa basi la kampuni ya jordan imedondoka mda si mrefu eneo la nzega kilomita 6 kutoka hapo likitokea mwanza kuelekea moshi zaidi ya watu 8 wamepoteza maisha
Kwa yoyote mwenye taarifa zaidi kuhusu chanzo cha ajali na majeruhi tupatieni taarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.