Miaka ya nyuma mafuriko yalikuwa yanatokea huko rufiji kabla hata ya hilo bwawa kujengwa. Kwa mvua zilizoanza kunyesha novemba mwaka Jana hadi sasa ni nyingi sana (Elnino) na pengine kilichochelewesha haya mafuriko huko rufiji ni ujazaji maji kwenye bwawa hilo vinginevyo mafuriko yangetokea...
Mkuu hata kama haitakuwa PPP bado serikali italazimika kugharamia hiyo barabara. Na serikali haina kiwanda cha kutengeneza fedha hivyo italazimika kukopa kwenye taasisi za kifedha na bado mtakamuliwa kodi tu ili fedha zipatikane kwa ajili ya kurejesha mkopo. Ukitafakari sana PPP njia rahisi ya...
Ukiona hivyo ujue asilimia kubwa ya wazee wa kichaga walikuwa town au sehemu mbalimbali hapa Tz na kwingineko wameshaumaliza mwendo. Waliobaki ni watoto wao ambao hawakuzaliwa huko uchagani hivyo hawana connection ya moja kwa moja ha huko. Hiyo inaweza kuwa mojawapo ya sababu zenye mashiko za...
Miaka kumi umejificha tu Dar hata kwenda kwenu hutaki kisa nauli? Achaeni utani kwenye masuala sirias bwana! Ila kwenye mbunye hata ukiambiwa uifuate Katavi nauli itapatikana! :D :D :D
Hata kama hamtakwenda kila mwaka lakini mnaweza kujiwekea interval hata ya miaka miwili miwili. LABDA KAMA...
Nilipokuwa mdogo kabla ya kubalehe nilikuwa sipendi sana wanawake weupe japo kwa wakati huo nilikuwa sijui mambo ya mapenzi au ngono. Nilikuwa nikimuona mwanamke mweupe ni kama vile namchukia/simpendi. Pengine ilitokana na mazingira niliyokulia kutokua na wanawake wengi weupe. Katika wanawake...
Mwanzoni Sumaye na Mkapa walikuwa waaminifu sana sema kuna mtu anaitwa Basil Pesambili Mramba ndiye alikuja kuwaharibu ukubwani na wao wakawa majizi. Ila kwa asili Sumaye na Mkapa walikuwa siyo wezi. MRAMBA NI MTU HATARI SANA! :D :D
You are right! Naona wewe tunasaifiri wote kimtazamo. Nilikuwa najiuliza sana kwamba hvi hakukuwa na njia nyingine mbadala ya watu kuvifikia vituo vya kupandia mabasi ya mwendokasi? Maana naona hizi ngazi wanazojenga kwanza ni very complicated (umbali mrefu kufikia kituo) lakini pia zinachukua...
Ukiona dini yoyote inadai kwamba inamsaidia Mungu kueneza hiyo dini duniani tena kwa nguvu za majambia na farasi jua huyo si Mungu wa mbinguni ni mungu mwingine kabisa. Hakuna mwanadamu anayeweza kumsaidia Mungu wa mbinguni kwa jambo lolote. Na ujumbe wa Mungu huwa hauenezwi kwa ncha ya upanga...
SIKU MKIKEMEA MAJINI/MAPEPO/MIZIMU KWA JINA LA MUHAMMAD (S.A.W) NA YAKAKIMBIA AU YAKAMTOKA MTU ALIYEPAGAWA KAMA MIMI NINAVYOYAKEMEA KWA JINA LA YESU KRISTO (YESHUA)NA KUYAAMURU YAMTOKE MTU NA KUKIMBIA NDIO NITAAMINI KWAMBA MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
Nadhani wewe ni miongoni mwa wachawi maana mchawi hata siku moja hapendi na hataki kujulikana kabisa maana uchawi ni uovu kama ulivyo uovu mwingine kwenye jamii. Hata jina lako tu hapa JF (Kikinga) limekaa/linathibitisha pasi na shaka kwamba yu mkini u-mchawi.
Acha Israel ijilipizie kisasi chake. Haya mambo ya kuuwa wapelestina kibao yalianza enzi zile za akina mfalme Daudi. Hivyo sioni ajabu hawa watu kuendelea kuuwana hadi leo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.