Search results

  1. minyoo

    Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

    Le mutuz alimwekea Sumu Luge akafa akajua ataishi milele na yeye kaja kufa bila mke wala familia
  2. minyoo

    Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

    Kila mmoja atakufa ingawa kuna kutangulia kufa kabla haujamaliza kile ambacho ulikipanga
  3. minyoo

    Mwaka 2017 niliandika wote walioshiriki kumpiga Lissu risasi watakufa na Lissu atashuhudia vifo vya adui zake. Hilo linaendelea kutimia

    Le mutuz alikuwa ndani Gari iliyoshiriki shambulio tayari kafa na cyprian msiba yupo hoi pamoja ha Gilibet yule aliyemtolea bunduki Nape yupo jela kwa kosa la kupora pesa za mfanyabiashara na kisha kumuua
  4. minyoo

    DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

    Ujanja kapewa na Jamaa anaitwa Athuman kufakunoga huyo ndiyo mchepuko wa huyo mwanamke kwa sasa
  5. minyoo

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu

    Kamtembelee au pita hata mlonganzila endapo unahisi yupo hospital
  6. minyoo

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Ukraine hawana kitu bank nyingi Urus alichukua pesa walizozikuta
  7. minyoo

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Urusi atashinda vita hii hata Nato waje na propaganda zipi hawataweza kumshinda Urusi
  8. minyoo

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Marekani huchemsha sehemu nyingi hata kama ana kila kitu Somalia Vietnam alifeli na sasa Ukraine atafeli zaidi kwanza Bunge la USA hawataki kuingilia vita ya Ukraine kwa msaada wanaogopa Urusi kuja kutumia nyukilia ikaleta balaa Duniani
  9. minyoo

    Urusi kuwa na mji wa Bakhmut na Soledar, hasara ni kubwa kuliko faida

    Ni kweli vita inapiganwa kwa tahadhari za kulinda Raia wasife kwa wingi na Urusi anazidi kujichimbia amepenyeza nguvu kubwa kwenye jeshi la Ukraine anawachunguza mda si mrefu ataishangaza Nato pindi akiteka Bandari kuu ya Ukraine
  10. minyoo

    Lissu ametengwa? Tazama kinachoendelea

    Cha muhimu ni ujumbe ufike haijalishi kasimama wapi na mic
  11. minyoo

    Lissu ametengwa? Tazama kinachoendelea

    Wananchi hawataki ufahari wanataka ujumbe pekee
  12. minyoo

    Lissu ametengwa? Tazama kinachoendelea

    Lisu kabla ya kuhutubia huwasiliana na mwenyekiti kila anachokisema kina baraka za mbowe
  13. minyoo

    Lissu ametengwa? Tazama kinachoendelea

    Yupo vizuri sana na CCM wanatumia fursa hizo kujisahihisha baada ya kuwasanua vyema
Back
Top Bottom