Le mutuz alikuwa ndani Gari iliyoshiriki shambulio tayari kafa na cyprian msiba yupo hoi pamoja ha Gilibet yule aliyemtolea bunduki Nape yupo jela kwa kosa la kupora pesa za mfanyabiashara na kisha kumuua
Marekani huchemsha sehemu nyingi hata kama ana kila kitu Somalia Vietnam alifeli na sasa Ukraine atafeli zaidi kwanza Bunge la USA hawataki kuingilia vita ya Ukraine kwa msaada wanaogopa Urusi kuja kutumia nyukilia ikaleta balaa Duniani
Ni kweli vita inapiganwa kwa tahadhari za kulinda Raia wasife kwa wingi na Urusi anazidi kujichimbia amepenyeza nguvu kubwa kwenye jeshi la Ukraine anawachunguza mda si mrefu ataishangaza Nato pindi akiteka Bandari kuu ya Ukraine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.