Search results

  1. joellincoln

    Nimeanza kuzini na mama mkwe. Alikuwa ananitega mwenyewe

    Siku hizi mabibo hostel mnakaa na wake zenu? Kuna nyumba za wanafunzi mliio oa? maana kuna thread kuhusu BOOM kutoka kwa wanafunzi wa UDSM nimekuona KICHWANI ZERO ukijisifu kuwa juzi umekesha bar fulani na ukapoteza network na kuna baadhi umewajibu kuwa hawakuwezi kwa masom na mademu na kuwa GPA...
  2. joellincoln

    Kwa anayehitaji mchumba-wanawake tu

    Hauko serious mbona umepost kwenye jukwaa la tetesi? Kwa hiyo ni tetesi bado huja confirm kama kweli unatafuta mchumba??:A S-omg:
  3. joellincoln

    Airport yetu ya Dar inanuka uozo wa rushwa!

    Kupe si kweli Ethiopian Airline mbona nimesafiri nayo juzi juzi tu wazungu walikuwa wengi tu ndani ya ndege. Tatizo uwanja wa ndege ni management mbona hata kwenye BA kuna watu wanakamatwa na unga?
  4. joellincoln

    inauma sana

    Kama ana tabia hiyo iga Tanga au Mombasa ukimuona anataka kushusha mzigo unamboost kwa kupiga dole mk****ni kitu kinakata mnaanza upya! hahahaah
  5. joellincoln

    Chadema kumfikisha mahakamani Nape Nnauye

    Nafikiri CHADEMA kupitia mheshiwa mnyika wako sawa kwenye hili. Nape alikataa kutoa ushahidi akisema anakumbuka muda muafaka ufike ndo amwage data nakumbuka aliyasema haya wakati akihojiwa na Fina Mango. Nafikiri wakienda mahakamni ukweli ndo utajulikana,,,, so usiwatishe CHADEMA kutumia haki...
  6. joellincoln

    Barcelona Vs Real Madrid-Another Season of Mighty Clasicos.

    Bercelona 3 madrid 1 kitu kama hicho kaka Messi kama kawaida kadumbukiza mbili peke yake wakato ronaldo kafunga la madridi dakika ya 73 sasa
  7. joellincoln

    Video inaonyesha kwa nini wachina wanashinda sana olympic 2012

    Ohooo mkuu nimei download na sikumbuki link ila video clip ninayo,,, nielekeze jinsi ya kubandika video clip kama ni possible nitupie sasa ivi. Samahani kwa usumbufu jamani nilijua imeupload
  8. joellincoln

    Video inaonyesha kwa nini wachina wanashinda sana olympic 2012

    Cheki mwenyewe hapo video wenzetu wanajua kujiandaa
  9. joellincoln

    Uvutaji wa sigara kwa wingi una madhara ktk mbegu za kiume

    Fallacy! Tupe prove si kuleta data za ukoo wenu tu hapa! Kumbuka unaongelea dunia na tanzania kwa ujumla. Anyway mi rafiki yangu anavuta balaa tena sports na ana watoto watatu wote wa kiume anahangaika apate angalau wa kike sasa na shemeji naona kimeshaita,, yetu macho usikute ni kidume tena so...
  10. joellincoln

    Malawi and Tanzania to resolve the border issue over 'Lake Malawi' amicably

    Mkuu unatumia takwimu za wapi kaka? Si kweli kuwa Malawi wako fresh kiuchumi wamechoka sanaaaa hawawezi hata kunua silaha mpya hao kama chakula ni tabu itakuwa silaha? Huyu mama kaingia ndo kaanza kuukarabati uchumi kwa kuwarudisha wahisana ambao walijitoa baada ya mtangulizi marehemu Prof Bingu...
  11. joellincoln

    Is it true? Hebu soma maelezo hayo kwa tshirt

    Wakubwa ujumbe huu una ukweli wowote?
  12. joellincoln

    Ipe maneno picha hii ya jembe mh. Zito

    Pole mkuu hahahah yashinde majaribu
  13. joellincoln

    Ipe maneno picha hii ya jembe mh. Zito

    Ipe caption picha hii,,,,
  14. joellincoln

    Lulu ana zaidi ya miaka 18 - Jamhuri!

    Huyu mtoto atakuwa amefoji sana vyeti vya kuzaliwa maana ninavyojua pale uhamiaji wakati anaomba passport lazima aliambatanisha cheti chake cha kuzaliwa nafikiri ndo maana jamaa wamekamata hizo document zake za kuombea passport ambazo zinaonyesha ana 18 years. Haya baba na mama kila mtu anasema...
  15. joellincoln

    Chatu aliyeshiba

    Mh kazi kweli kweli kameza nini huyu?
  16. joellincoln

    Single ladies wanapatikana wapi?

    Teh, wenye kazi zao nenda Corner Bar au Pale Kinondoni wako kibao utawakimbia mazee
  17. joellincoln

    Kwas sifa hizi mwanaume ninampa nafasi ya kumfikiria.

    huyo wa aina hii lazima atakuwa malaya sana,,,, kila juha lina kasoro zake dada watch out! U can find anayekunywa akawa better off kuliko asiyekunywa na ushahidi upo wanaume wengi wasiokunywa wengi ni watu mademu sanaaaaa! Bora uongelee sigara hiyo naku support na kwenye pombe hatuongelei ulevi...
  18. joellincoln

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    R.I.P. Tatizo wamiliki wa mabasi nao wanapenda vitu cheap cheap wanafunga matairi mabovu yasiyo na viwango na madereva wao ni vichaa wanakimbia utafikiri wameambiwa mwisho wa dunia sasa na hizo kona kona za iyovu duh MUNGU atuepusha na mibalaa hii ya ajali na majeruhi MUNGU awasaidie wapone...
  19. joellincoln

    Langa Aongelea Uteja Wake

    mh kazi ipo ila bora ame confess may be others will learn
  20. joellincoln

    Wababa/kaka hivi ni kweli

    Huyo alikuwa sharobaro, hakuna cha mkwara wala nini huyo dada naye hajakutana na makamanda ambao hawatishiwi nyau! Anitafute aone midundo ya remix ya value, nyagi na redbull kudadadeki lazima ajute kutoa mzigo!:bange:
Back
Top Bottom