Nashukuru sana kwa kuchangia. ndugu zangu, ukweli ni kuwa naongezea mtaji wa biashara, na nahitaji fedha kwa pamoja..kikubwa na ninchoelewa, mwenye msaada wa hili atafuata njia zote za kjiridhisha na ninachoomba. hapo juu umechangia vema, hata akina Mengi, nao wanakopa sasa usiseme mbona ana...
Asanteni kwa kupitia uzi huu na kujibu. Pengine kwa kirefu, ni baishara nafanya, hesabu zangu, ni kuwa nimepata eneo jipya, naweza kulipia kodi na kulipia vifaa kidogo, ila kuna vitu vitahitajika ili kuakamilisha biashara hii kubwa ianze. sio kutapeli, unaweza kuona mkatabata wangu wa kazi...
Naafuta mkopo wa haraka kuongezea mtaji. Natafuta angalau mill 6 kwa mtu binafsi nilipe ndani ya miezi 4 kupitia mshahara wangu. Mshahara wangu net salary ni 3,264,000/= na January net salary itakuwa 3,600,000/=.
Riba tutajadiliana. Nipo Dar es Salaam. Nitaomba mwenye msaada anisaidie ani...
Naafuta mkopo wa haraka kuongezea mtaji.natafuta angalau mill 6 kwa mtu binafsi nilipe ndani ya miezi 4 kupitia mshahara wangu. Mshahara wangu, net salary ni 3,264,000 na January net salary itakuwa 3,600,000. Riba tutajadiliana. Nipo Dar es Salaam.Nitaomba mwenye msaada anisaidie ani PM tuweze...
Natafuta PA system(amplifier, speaker , microphone nk) kwa pamoja inaitwa PA system.
1.Tafadhali kama kuna mtu anauza iliyotumika(used), nitajie na bei yako tafadhali
2. Pia kama kuna mtu unajua kwamba zinapatikana wapi naomba nijulishe pia tafadhali, bei na mahali ninapoweza kununua
Mimi nipo...
Mimi nitakusaidia kazi hiyo, nina mafundi wa kutosha, nina ofisi mbili tabata kimanga stendi kabisa, na pia tabata DA WEST.....kARIBU SANA,bei naamini hatutashindana, kazi, ubora wake ndio la msingi kwanza...Sample nitakushonea bure.
pia naweza kuja ofisini kwako,tukaongea vema, ili kuokoa muda...
Hii mmeitoa wapi? ni vema mkawasiliana na makatibu wa Chama Jimbo wawape majina yote mpate kuwajua wote. Nafahamu mmoja anaitwa AHOBOKILE MWAITENDA Hajaandikwa hapa............naamini wengi watajitokeza, na ni vizuri ushindani uwe mkubwa.
Nina ofisi Sinza Mugabe, natafuta mtu wa kupamga naye pamoja, ipo karibu na stendi mpya ya mawasiliano, karibu pia na City style hotel.
Mwenye kutana tuweze kutumia pamoja na kuweza kulipia pamoja anijulishe, anaweza ku pm namba yake tukaongea vizuri..
Ofisi ina vyumba viwili vikubwa , ni...
Habari wana jamvi,
mtoto alikuwa malaria kali, sasa hajambo, yupo safarini, anashindwa kula chakula maana mdomoni kuna vidonda, je dawa gani itamfaa, mtoto ana miaka mitatu.
Natanguliza shukrani
Nashukuru sana sana kwa maoni, uliotoa ni msaada mkubwa;
1.Je naweza pata msaada wa mahali ilipo Radium Salon Equipment, ikiwezekana na mawasiliano yao kama unayo,
2.Je unamjua fundi yeyote mwenye michoro na anayejua kutengeneza, please kama una simu yake pia nitashukuru kupata.
Nashukuru sana sana kwa maoni, uliotoa ni msaada mkubwa;
1.Je naweza pata msaada wa mahali ilipo Radium Salon Equipment, ikiwezekana na mawasiliano yao kama unayo,
2.Je unamjua fundi yeyote mwenye michoro na anayejua kutengeneza, please kama una simu yake pia nitashukuru kupata.
Natafuta mkopo wa millioni 8, nitazirudisha ndani ya wiki 2,au kabla ya wiki mbili....nina jambo la haraka, ninaweza kuweka dhamana ya kadi ya gari,au ukakaa na gari kabisa, lakini pia utakuja upafahamu nyumbani kwangu.
Kuna jambo natakiwa kutumia fedha hizo, sasa hivi na narudisha ndani ya...
Natafuta fedha millioni 7.5 na niaweza kurudisha million 8 ndani ya mwezi mmoja. Dhamana kadi ya gari....Naomba msaada wenu, nina jambo natakiwa kutatua ndani ya mwezi mmoja. Natanguliza shukrani.....
Mbarikiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.