Alibadili lini jina?
Kwa waliopita Tabora School watakumbuka list ya Head Prefects waliopita ambayo ipo pale mess jina lake likiwepo pia na linasomeka Jenerali Ulimwengu,hiyo list ipo miaka nenda rudi.
Utasikia 'Rijambazi rimeuwawa katika makabiriano makari na porisi' hovyooo..
Hivi siku watokee wahuni kama wale wa West Gate sijui itakuaje,mungu epushia mbali.
Hawa kazi kuzuia maandamano na kupiga risasi hovyo hovyo,ndio hizo mara zitue kwa kina Akwilina.
Jamani nimeacha tena pombe.
Note: Hii ni mara ya kumi naacha pombe,mara ya kwanza ilikuwa 2008 nilidumu kwa muda mrefu zaidi miezi 6.
Asanteni na kazi njema.
Ninachojua ni kwamba kumekuwa na mzunguko wa Catholic na Islam tu.
Nyerere-Catholic
Mwinyi-Islam
Mkapa-Catholic
Kikwete-Islam
Magufuli-Catholic
Samia-Islam
.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.