Inategemea ni aina ipi ya uyoga, kuna uyoga inayoliwa (edible mushrooms) ambayo huoteshwa kwenye mashamba kama inavyoonekana kwenye hizo picha. Uyoga unao uogopa ni ule unaopatikana porini ambao upo tofauti kabisa.
Tunauza uyoga fresh hapa dar es salaam.
Bei:
Kilo 1 ni Tsh 8000
Delivery fee: Tsh 2000
Kwa anayehitaji uyoga fresh awasiliane nasi kupitia +255 656 214 678, 0786517320.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.