wao wana mikakati na mipango ya vizazi na vizazi, huku nyumbani tangu uhuru watu wanategemea chanzo cha maji wanashindwa kuwa na plan b incase ukame na Mabadiliko ya tabia nchi yakitokea tujue tunajikwamua vipi.
Watu wakiijiriwa huko serikalini kila mtu anawaza upigaji hamna hata Kiongozi...
Hawavai kishamba bali wako simple tu, washamba ni wale wanaosafiri kwa bus hasa hizi za mikoani tuseme bus ya Dar to Mwanza halafu unakuta kavaa suti na mtu kwa safari ndefu za aina hiyo ni kuvaa nguo za kawaida tu kama timbaland bukta yako, T-shirt na sandals.
Kuna rafiki yangu alipata safari...
...nahisi itakuwa hivyo, kipindi kile hadi wanafunzi wa veta walikuwa wanakuja kuabudu pia. Kuna mdada mmoja nambuka alikuwa pale praise mwembamba mweupe anavaa miwani yaan ilikuwa ikifika wiki yake hiyo asubuhi ataimba hadi unaona wachungaji wanafurahi. Mwaka jana sikumkuta niliuliza alipo...
Mkuu, huu unyunyu nauona sana IG unaweza nisaidia kidogo sifa zake maana kila anayeuza marashi huko naona ana-upload picha za hii inaonekana ni kisanga[emoji16]
Paula, kwa hapa bongo wapi wanauza vitabu vile 2nd hand at least bei yake isizidi 10. Maana sie wengine ni wavivu wa kusoma kwenye kwa pdf pages zote hizo. Macho yanauma hata nikipunguza mwanga
Mkuu, vipi kuhusu wanawake. Maana hizi mambo ume-share na sisi naona zimeegemea kwetu wanaume. Hivyo tufungue macho tueleze wanawake nao watazawadiwa nini tujue kama nao watapewa vijana mabikra!!? Natamani kujua position yao huko kama itakuwa same na fair kama wanaume.
Sio mbaya uka-quote-iya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.