Umelinganisha vitu viwili tofauti.
- Mbowe ni Mwenyekiti wa chama na Kinana ni katibu mkuu wa chama.
- Mbowe anachaguliwa na mkutano mkuu wa chama na Kinana anateuliwa na Mwenyekiti wa chama chake na kuthibitishwa na secretariet ya chama chake.
- Kina unaweza kumlinganisha na Dr. Slaa sio...
Nadhani umeover react. Kifurushi cha 500 alafu afunge safari kwenda ofisini kwao, atumie nauli ya 1000 au 2000 kwenda na kurudi. Mi nakushauri amia mtandao mwingine tu basi.
Hata mimi nilishangaa sana alichotaka kufanya prof. Muhongo.
Hajui huyo aliyemdharau kesho aweza kuwa PM au President na akaanza kumnyenyekea.
Kwakweli alinichufua ingawa waga simkubali sendeka.
Ndege kubwa inavyoonekana kwa ndani
Dodoma. Tuhuma nzito za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka zimezidi kuibuliwa katika ofisi nyeti za Serikali, ikiwamo ya tiketi za ndege kuuzwa kwa bei kubwa mara 16 zaidi ya nauli halisi.
Hayo yamo katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
Ni kweli uponyaji upo, mimi nimeshuhudia walemavu wakipona na viziwi kwa jina la Yesu. Hata mimi nilikuwa na shida ya mguu niliombewa nikapona. Nakubali matapeli wengi sana wapo na hiyo biblia imesema juu ya manabii wa uongo na ikatupa kigezo cha kuwajua.
Inasema "mtawatambua kwa matunda yao"...
Zito badilika, wabunge wa upinzani wakipanga kususia jambo wewe unaliunga mkono, sasa na wanaona si mwenzao uko upande wa chama tawala, na CCM nao wamekugeuka uko alone.
P/s fanya move zako ukikiusisha chama, nenda pamoja na msimamo wa chama chako sio kufanya unayoona ni sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.