Hata ukiwa kwenye ndoa, i still don’t think cheating is bad kwa sababu mungu kwa alivyo muweza wa yote angetaka iwe one to one function, angezuia tamaa. Lakini as long as, hata ukioa wanawake wanne bado ukiona chuma kingine mtaani unataka upige then its all good.
After all, we only live once...
Kiranga ni habari nyingine, eneo hili la uwepo ama kutokuwepo kwa mungu sijawahi kuona mtu kamzidi hoja. Ni mjenzi mzuri na makini wa hoja.
Ukisoma maandiko yake na kutafakari bila jazba wala hisia lazima uguswe.
Kuna post za ajabu hapa....eti mtu anasema Lema ni shujaa! Shujaa gani asiyejua dhamana aliyopewa na wapiga kura wake? Kutwa kuropokaropoka hovyo utadhani hayo maneno ya hovyo ndiyo aliyotumwa na wapiga kura wake.
Lema anatafuta cheap popularity na bahati mbaya sana awamu hii imeamua kusimamia...
Jamani tuache kuhukumu watu kwa mavazi na vitu vingine uchwara. Ina maana na Rais Obama na Secret Service yote nao ni wapuuzi kumu host mfalme wa Morocco?
Ona picha hizi [emoji116][emoji116]
Tunauza kuku wa kienyeji, kwa wakazi wa DSM onja msisimko wa kuku watamu wa kienyeji. Kuku ni wakubwa na wanauzito wa kilo 3-4. Bei nzuri kabisa. Unaweza ukaletewa mpaka ulipo kama utahitaji wengi. DM kama unahitaji
Watanzania kwa habari za umbea na udaku ni mabingwa. Kwa karibu miaka 5 sasa Jamii Forums imegeuka kuwa sehemu ya kujadili hoja nyepesi nyepesi (nyingi zikiwa umbea na uzushi).
Sasa hivi hakuna tofauti ya JF na gazeti la Sani au Ijumaa.
Labda ndio u-dot-com wenyewe....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.