Inasikitisha kuona kuwa mpaka leo hii kabila la Kichagga linawakandamiza wanawake katika familia zao. Wiki iliyopita nilishuhudia familia moja ikimfukuza dada yao ambaye hakubahatika kuolewa na kulazimika kuendelea kukaa kwenye mji wa wazazi wake. Lakini kaka zake kwa kushirikiana pamoja...
Jamani, Joti huwa anapatia sana kuvaa uhusika. Anaweza kuigiza kama mzee sana, kama kijana, kama kilema, kama mtoto wa shule na kama mtu mwenye pengo, na kama mwanamke pia. Kwa hiyo ni kipaji alichomjalia Mungu, na kwa njia hiyo ya maaigizo halali anayofanya inamudu kuendesha maisha yake...
Kila mtu hapa ana uhuru wa kusema anavyofikiria, usilazimishe kila mtu akiunge chama unachokipenda wewe. Hapa kila mtu ana uhuru wa kutoa taarifa alizo nazo. Nchi hii itabadilika iwapo kila mtu sehemu yake ya kazi, biashara, kile alichonacho kidogo anamgawia na mwenzake na kumhurumia, hapo...
Mfalme wa Wafalme suala siyo mtu anapochangia basi ametumwa, mimi huo ni mtazamo wangu, na mtazamo wangu basi isiwe kuwa mtu ametumwa, eleza kama alivyoeleza PhD siyo lawama mheshimiwa ! hapa ni mahali pa kuelimishana siyo mahali pa kutafuta mchawi MFALME.
Jamani imenishangaza sana kuona kwamba Chama chenye nguvu, wasomi, sera nzuri leo wanaingia kwenye mtego wa CCM. Wameanza kwa kumtumia Mfadhili wa CCM kupewa fedha za msaada, Chadema wakachekelea, CCM wanawatia moyo kusema si dhambi mfadhili wao kufadhili na vyama vingine!! jana inatangazwa...
Huyu kijana nilivyomuona pale Ubungo, niligundua kuwa haikuwa nia yake ya makusudi kujiua, maana angetaka kujiua angejiangusha mara moja baada ya kufika kileleni.Lakini alikaa pale juu zaidi ya saa nzima huku akibadilisha mikono kushika nguzo. Hata walipokuja watu wa FIRE walimbembeleza muda...
Mr. II a.k.a. hakika umefanya kazi! Lakini wewe mwenyewe mbona uko kwenye mkumbo huo huo? au ndio unajaribu kujihami kiaina? Jaribu kuendeleza kipaji chako kuliko kuchambua watu, au unachambua jihakikishe kwamba wewe ni safiii vinginevyo ni ile mithali inasema Nyani walichekana kwenye mbuga.
Yaani wewe Dear usilete utashi wako ukadhani na wengine wanao kama wa kwako. Unaposema wapo Ma-model ni kwako wewe mtazamo wako. Kitu chochote usichokipenda achana nacho kama unavyoamua kubadilisha channel. Waliompa tangazo wao wanafurahia. Tafuta biashara ya kwako mpe unayemtaka (MODEL...
SISIEM ndiyo maana imepoteza mwelekeo, maana wengi wanajiamini kutokana na hao waliowaweka madarakani lakini si uwezo wao wa kufanya kazi. Huyu mama ni mmoja wa sanii, anatumia wanawake wanyonge kuwalaghai na kukusanya fedha zao maskini, lakini siku zake zinahesabiwa - kuna wakati wa kucheka na...
Nadhani uliyeleta mada hii si Mkristo na kama ni Mkristo - ni Mkristo jina usiyepata hata muda wa kusoma Biblia. Watu uliyowatolea mifano ni Viongozi - Watu wanaopaswa KUHESHIMIWA ndivyo Biblia inavyoagiza - lakini si Biblia tu popote pale wanapokanyaga wanapaswa kupewa ulinzi - maana adui...
Daraja la Mungu Mbeya
Maporomoko mazuri yenye mandhari safi - utafikiri "sitting room" KAPOROGWE Mbeya
Wanawake wenye vitambi Mbeya
Miguu ya Chupa Mbeya
Ulevi Mbeya............
Vyakula, matunda ya kila aina Mbeya
AAAAAAA Mbeya naipenda
Huyu Kakobe amezoea sana kuwatumia sana wafuasi wake kama vile watoto wadodo waiojua kitu. Akiwaamlisha hayaa toeni fedha zote kwa ajili ya sadaka wasibakishe hata nauli ya kurudia majumbani mwao wanatoa! toeni dhahabu zenu maana ni mapepo wanatoa! lakini la sasa Mungu na alione maana watu...
Huyu mama ameonyesha mfano mzuri. Watu wengi wamefungwa au kuuwawa kwa mambo ya kusingiziwa. Wengine wapenzi wao baada ya kuwachoka wanaitiwa watu kuwa wezi hivyo wanashambuliwa hadi kuwa - wengi wamepoteza maisha! Watu waige mfano wa KUTUBU ili wawe na maisha ya amani kwa muda waliopangiwa...
Suala siyo utajiri - kumtumikia Mungu hakumaanishi kuwa Maskini hata kidogo. Mungu aliahidi kwamba wote wamchao Bwana atawabariki na watakuwa vichwa wala si mikia.
Cha kujiuliza hapa ni kwa waumini wenyewe wanaotoa hizo fedha kwamba wanajua wanayemtolea? Tatizo ni kwamba watu wengi hawasomi...
Acha magufuli afanye kazi yake, angalau anaona kauchungu kidogo kwa wa TZ. Tukiongelea nyumba ni theluji ndogo mnooo ukilinganisha na ulafi mkubwa wa wakubwa wengine kila kukicha ni dhuluma kwa wananchi na kukazana kujenga mahekalu.
Kaza BUTI baba Magufuli
Yote haya wanafuata nyayo za wizi wa Serikali. Kwa mfano tangu Serikali walipochukua hela za DECI na kukiri kukamata Bilioni 11 za wanachama, hata kama wanachama kwa kutokujua au kujua kwamba ni kosa, je Serikali ina uhalali gani wa kutumia fedha hizo? Ndio maana wengine wanaojua undani wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.