Nimemsikia mwenyekiti wa NEC anadai kuwa wao wanahakiki matokeo ya urais yanayotoka kwenye majimbo na wakigundua yamekosewa wanayarekebisha.Hapa kwa kweli, sijamuelewa!anahakiki vipi wakati wanpokea figures tu? watajuaje kuwa figures hizo zina makosa wakati wao wako Dar na uchaguzi umefanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.