Tunatoa huduma ya kufua nguo Arusha kwa gharama nafuu. Huduma inajumuisha kufata nguo na kurudisha kwa mteja.
“Nguo ni kama mali nyingine zinahitaji uangalizi”
Karibu tukuhudumie, huduma hii ni kwa mkoa wa Arusha pekee
Contact: 0755 75 05 05
Evareth clothe care
Mimi nimesoma REFI (real estate finance n’ invest) ni kozi nzuri sana ila kwa TZ bado sana, inakupa maarifa mengi sana kuwa tayari kujifunza baadae utafaidika.
Kuna wimbo wanaimba "nasi tulikubali kwa maisha yote ya raha hata shida, iwe kwa dhiki magonjwa na raha tulikubali...." ni bongo fleva mwenye nayo atupie plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.