Wabunge inabidi wahojiwe kwani wao ni nani?? Hawajanyamazishwa kwani wakihojiwa watatoa Rushwa ili wasihukumiwe? Kama wao ni waadilifu wakubali kuhojiwa na waendelee kutoa hoja za kuwajibishwa kwa Hosea, sio kulalamika.
Waungwana Habari za udini hazifai kutajwa na kujadiliwa na jamii ya watu makini kinachotakiwa ni kueleza mapungufu ya mtu fulani mwenye cheo fulani kwani upungufu au uimara wa mtu hauletwi na dini ila ni mtu mwenyewe.
Tukianza na dini tutaelekea kwenye kabila then tumalizie na jinsia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.