- Mwanamke aliambiwa na alishauriwa na kila mtu kwamba anafanya makosa lakini akaamua kuwamaini marafiki zake wanaompoteza, Familia yake mwenyewe ilikaa chini na kumtaka arudi kwenye ndoa akawasikiliza wenzake, ndugu yangu sasa it is too late.
le Mutuz Superbrand
- Mtoto hakupandikizwa Chuki hapana ni ujinga tu wa my ex, unajua ukiwa na chuki sana unakua huwezi kufikiri tena sawa sawa kwenye kulilia Divorce alidanganywa na wenzake by the time anakuja kugundua kua amekosea it was too late inahuzunisha sana ila sina la kumsaidia.
- Cha ajabu ni kwamba...
- Ok kama ni mtu uayefuatilia JF tthen unajua matusi yale ni ya Mama ambaye amekuwa akitukana hapa kwa muda mrefu sana, on a serious note yule mama ni wa kumuombea kwa Mungu kwa sababu niambie ni nani atamuajiri yule mtoto wakati matusi yapo kwa jina lake? huzuni sana
le Mutuz Superbrand
- In the next three weeks nitakwenda Kigali, Lusaka, Johannesburg halafu nikirudi nitaenda Dubai, Hongkong na China. Halafu nikirudi nitaenda Europe ni mambo ya kitabu so kazi kazi tunasonga mbele!!
le Mutuz Superbrand
- Mabishano ya mamiss na wewe sio miss umeingiaje? hahahahahaa kama sio miss mbona hutumii jina lako la kweli tukujue kama ni mtoto wa kiume? hahahahaha yaani umejivua nguo mwenyewe
le Mutuz Superbrand
- Dada alikua kambi ya Lowassa kamtukana sana Rais wa sasa kwenye kampeni mwaka juzi, sasa akadhani akifanyia Nyerere Conference anaweza kumfanya Rais aje, anadhani Rais huwa hasomi mitandao hahahahahaa kapiga chini!
le Mutuz Superbrand
- Umeanza haya maneno toka ninaishi USA nimerudi bongo unahangaika tu huna kazi wewe? Chadema mbona hawakupi hata ukatibu kata fala wewe! Achana na mimi huniwezi umelia sana na mimi lakini ndio kwanza ninaweka record ya uuzaji wa Vitabu Tanzania, wewe endelea na udaku udaku wenzako tunapiga kazi...
- Ameji undermine mwenyewe kwa akili ndogo, unapiganaje na wakala wako na brand ni yako mwenyewe? Niliwahi kukukuwadia wewe ndio maana unayajua, wewe ni mjinga tu hata utumie majina ya bandia ni mjinga ndio maana Serukamba alikuacha baada ya kukutumia sana kuitukana serikali ya sasa...
-
Dada akili zero, muandaaji wa Miss Tanzania unagombanaje na wakala wako kwenye Public na Brand ni yako mwenyewe unadhani kuna mdhamini anayetaka kuwekeza kwenye ujinga kama huo? hahahahahahah
le Mutuz Superbrand
- Ukiona hivi huna makalio, basi wewe utakua sio binadam maana wote tuna makalio au wewe huna? Sasa unakalia nini? hahahahaha sema kitu ambacho huna weka na evidence ndio utaonekana una akili, weka picha yako hapa bila makalio tuone hahahahah
le Mutuz Superbrand
- Sijawahi kuomba cheo kwa yoyote JK ni rafiki yangu wa karibu sana ningetaka cheo ningemlilia niliporudi angenipa, unataka nikawe DC Tandahimba? hunipendi sana ndugu nimeamini, sasa kelele zako zote miaka 30 ya Chadema mbona hawakupi ubunge viti maalum tu? hahahahahaha
le Mutuz Superbrand
- Nilidhani mmeniita ishu ya Miss Tanzania sasa mbona mnachanganya mada, anzisheni ya Makontena niwape habari kamili, halafu by the way tatizo ni makontena au urafiki wangu na yeye?
le Mutuz Superbrand
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.