Mkuu niliyasema haya mwanzoni kabisa mwa scandal ya Mbasha's,baada ya kuiweka first page na kuiandika stori kiudaku udaku bila kuhoji maswali ya msingi,nikasema Mwananchi limepotoka na niliacha kununua Mwananchi tokea wakati huo
Kutoka kurugenzi ya mawasiliano!
Ili kuleta maendeleo ya haraka na kusogeza huduma kwa wananchi tumeanzishwa wilaya mpya ya Balali katika mkoa mpya wa Balaa,na kwa mamlaka niliyopewa namtanganza ndugu Neville Meena kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Balali.Kabla ya uteuzi ndugu Meena alikuwa mwandishi...
Hahaaaa,haya nilikuwa nayasikia Kenya tu,mke mmoja wanaume wawili!!Haaaa kumbe watu wanaingia kichwa kichwa,fanyeni uchunguzi kwanza,msiwe na papara!Tunapendana na laazizi wangu Bantu lady,,tutakualika mkuu nyumbani
Kibo10 unataka kutuambia charty sio dada yako??Au umezidiwa kete na Rich Pol,basi unakuja na sizitaki mbichi hizi!Hahaaaaa,funguka vizuri mkuu,umekuta charty ni dada yako nini??Poleni,kuona tu avatar au id ya mtu,ushatongoza tayari,ndio maana yule nanii ni wa kiume!!
Mods sijui wamefuta comment yangu!!Kiufupi JUA LA UTOSI hauna tofauti na wale m.a.k.a.ha.ba wa korner bar,,duhhh ndani ya wiki mbili unakuwa kada wa vyama 2 tofauti vya siasa!!
Sisemi namchukia #Mwigamba ,sisemi nawachukia wasaliti (yeyote awe ndani ya CUF,NCCR,CDM,CCM,ACT,TLP,e.t.c).Ninachosema ni kuwa if he died in a train accident,i wish,I should be the one driving it!
Jamani,mbona nimechelewa kupata habari!!.Mkuu kiwatengu,umekuwa chachu ya furaha hapa JF kwa topics zako za kuchangamsha na kuondoa stress!Pia ndoa yako na shansarie imekuwa ndoa nzuri ya kuigwa hapa JF,mnaheshimiana na mnapendana,big up!!
Unapoadhimisha siku yako ya kuzaliwa natambua mchango...
Sasa MSALANI,ujinga wake ni upi?Kwa nini msishindane hoja?Hii ndio inbathibitisha ukweli wa alichokiandika kuwahusu nyie CCM.Akili zako MSALANI kama C.h.o.o kama lilivyo jina lako!!
Kumbe hujuma,pole lara 1,,back in topic,,emolo,,kwani unamzidi urefu kwa mita ngapi?Mkitembea wote mmeshikana mikono kwani watu wanawauliza kama unampeleka shule? lara 1 kwa vile vigezo vingine vipo,kula pini hicho cha uemolo ni kidogo sana rudisha timu uwanjani,labda kama ni uemolo wa urefu...
lara 1 pole kwa ban,,ulifanya nini lakini?Mi nikajua utakuwa umemchuna mods na hutaki kutoa P!!Tulikumiss,kuna dada anashukuru kwa kumtafutia kazi mumewe na tena umemtafutia kazi bila gharama yoyote na wala hujamtongoza!!!!
Tatizo kubwa la viongozi wa CCM ni #Unafiki ,,wote ni wanafiki!!Membe wiki zilizopita alisikika na wapambe wake walisikika wakimnadi kugombea uraisi,,bwana mdogo Makamba naye kafunguka kaweka nia yake wazi ya kugombea!Sijamsikia yeyote wanaojiita makada wakikemea!Sasa Lowasa kuandaa chakula kama...
Waooo mkuu Tangopori,,happy birthday!Mungu akujalie maisha marefu ya Furaha,Afya njema na Mafanikio tele!
Ninaapriciate sana uwepo wako hapa JF hasa linapokuja suala la "Weka picha"!Long life mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.