Sidhani kama ni rahisi kama ulivyo-hitimisha. Kama sio mvivu wa kufikiri, rudi nyuma (mbali) katika HIS-toria ya eno linaloitwa Tanganyika, halafu, fikiria 'alternative paths', alafu fananisha: sidhani kama utafikia hitimisho hili.
Tunahitaji, nafikiri, nje ya mambo mengi mengine;
mbunge kuwa mwakilishi wa kweli wa wanajimbo wake, kwa kupitia chama cha siasa au binafsi
wanajimbo waweze kisheria kumvua ubunge mbunge wao kabla ya uchaguzi
raisi asiruhusiwe kuwa na majukumu mengine yoyote nje ya majukumu ya raisi kikatiba...
ugawaji wa majengo ya Tanesco kwa taasisi ya kiIslam uangaliwe upya.
makubaliano/mkataba unahusisha malipo ya kila mwezi kwa taasisi ya kiKristu yaangaliwe upya
This time wananchi washiirikishwe.
Kama kuna unfairness, then isijalishe mnufaika ni dini gani, marekebisho yafanyike. Umenielewa?
Kama
Hayana faida kwa taifa, YAVUNJWE.
Kuhusu kushirikishwa wananchi, usijitoe ufahamu!, Serikali ya CCM hainaga uwajibakaji huo. Wameshapitisha mikataba mingi, na mingine ya hovyo miaka nenda miaka rudi kwa usiri mkubwa. Tunakujaga sikia mambo yakibuma!
kwa mfumo wa teuzi uliopo ni almost impossible kufuta;
udini,
ukabila.
undugu,
ukanda etc
Hii ni kwasababu wateuzi wana dini, kabila/kanda, ndugu, na hila! mwadamu kwa asili ni mbinafsi, na uamini na kupendelea cha kwake au anachokifahamu.
Hali ya udini ikiendelea kama hivi, ni jambo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.