Mimi nimuombe mheshimiwa nchemba kwamba siku hizi elimu ina upana wake,kuna vijana wamesoma wanajua kucheza na computer,tofauti na zaman zenu ukiingia chumba cha computer lazima uvue viatu.elewa ukweli utabaki ukweli kama mtu anasema ukweli,uongo utabaki uongo kama mtu anasema uongo.
Jaman nenda mahospitalini ujue Ni nini cha kudiscuss,tuna mambo mengi ya kuongelea na sio majungu Tu ya kila siku kuzungumzia vyama badala ya maendeleo ya taifa kwa ujumla.hebu chek Leo hii maji Dar Ni tatizo je Kule kalenga kukoje?
jamani jamani SI kila kitu kubisha Tu,kama kichwa chako uwezo wake WA kubeba mzigo Ni kilo 50,itakuaje kama utabeba kilo 100?ndivyo na barabara inavyoumia ukizidisha uzito.yupo sahihi magufuri.kama unabisha njoo darasani tukueleze
kaka huna data,hebu nenda mbagala kuna kiwanda cha cement pale.wale walisema hata wakiuza sh.8000 wanapata faida,pia cement inayotoka Pakistan inauzwa sh.14000,kama ya twiga.ulasimu wa selikari walikataa camel cement kuuzwa 8000 kisa ataharibu soka la twiga where by serilali kuna percent...
Mimi naungana na mtoa mada,kwa akili ndogo Tu fikiri hivi,waliohusika na bomu arusha hawajulikani,au wanaouza unga mitaani hawajulikani.rais anajua kila kitu,ILA atasemaje wakati Ni mpango WA chama tawala kuhujumu kila kitu.
kama jukwaa halijatoa tamko naona wewe ndio mzushi na mnafiki.anayetakiwa kujibu hoja hiyo Ni jukwaa la wakiristo wenyewe!wewe kenge unatafuta mini kwenye msafara WA mamba?
Nilisema hivi kama jery atabomoa jengo Hilo ndani ya siku Saba nachukua kadi ya ccm.sasa kijana mwenzetu tangu lini ukatoa gunia la chini wakati la juu hujatoa?tangu lini maji ya kapanda mlima?wewe Ni mtoto sana katika watoto wewe hats kutambaa bado.KIRAZA sort Raza ndio Baba WA ccm.unasukuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.